Tag: mafuta
- by adminleo
- June 14th, 2019
Wananchi kuumia zaidi bei ya mafuta ikipanda
Na WANDERI KAMAU SIKU moja baada ya bajeti kusomwa, Wakenya wameanza kuhisi athari zake huku Mamlaka ya Kudhibiti Kawi (EPRA) ikiongeza...
- by adminleo
- June 11th, 2019
Mnawaumiza Wakenya kushindia kuongeza bei ya mafuta, serikali yaambiwa
CHARLES WASONGA SERIKALI imelaumiwa kwa bei za juu za mafuta nchini kutokana na kutoza bidhaa hizo kiwango cha juu cha...
- by adminleo
- May 19th, 2019
KPC yaagizwa kuchunguza athari za mafuta yaliyomwagika Makueni
Na PIUS MAUNDU WAZIRI wa Maji Simon Chelugui ameitaka Kampuni ya Mafuta nchini Kenya (KPC) kuongeza juhudi katika kuchunguza kiwango cha...
- by adminleo
- May 14th, 2019
MAFUTA: Gharama ya maisha kupanda zaidi
Na BERNARDINE MUTANU WAKENYA wanatarajiwa kukumbana na hali ngumu ya maisha kwa kipindi cha mwezi mmoja ujao, baada ya Tume ya...
- by adminleo
- May 5th, 2019
Tullow kuanza kuchimba mafuta baada ya kupata idhini ya NEMA
Na BERNARDINE MUTANU KAMPUNI ya mafuta, Tullow itaanza kuchimba mafuta kwa kiwango kidogo eneo la Lokichar Kusini kuanzia wiki...
- by adminleo
- April 14th, 2019
Hali ngumu zaidi baada ya bei ya mafuta kupanda tena
Na VALENTINE OBARA WAKENYA watazidi kukumbwa na hali ngumu ya maisha na hata kulemewa zaidi baada ya bei ya mafuta kuongezeka kwa kiasi...
- by adminleo
- December 24th, 2018
2018: Je, mabadiliko ya hali ya anga yaliongeza bei ya mafuta?
Na BERNARDINE MUTANU Miezi kadhaa iliyopita, serikali iliweka ushuru wa asilimia 16 kwa bidhaa za mafuta na kusababisha bei ya mafuta...
- by adminleo
- November 30th, 2018
Mafuta ya kuimarisha urembo yamfurisha uso
MASHIRIKA na PETER MBURU MWANAMKE mmoja amedai kuwa alikuwa karibu kufa alipotumia mafuta ya kubadili rangi ya nywele lakini...
- by adminleo
- November 14th, 2018
ERC yaongeza bei ya mafuta tena
Na BERNARDINE MUTANU Kuanzia Jumatano saa sita za usiku, waendeshaji wa magari na Wakenya kwa jumla watanunua mafuta kwa bei ya juu. Hii...
- by adminleo
- September 12th, 2018
Afisa wa Engen kizimbani kwa kuiba mafuta ya Oilibya
Na RICHARD MUNGUTI AFISA mkuu wa utendakazi katika kampuni ya kuuza mafuta ya Engen alishtakiwa Jumatatu kwa kuiba bidhaa za mafuta ya...
- by adminleo
- September 7th, 2018
Watumizi wa mafuta taa mijini sasa wageukia kuni kwa upishi
Na FAUSTINE NGILA WAKAZI wengi mijini ambao awali walikuwa wanatumia mafuta taa kupikia sasa wamegeukia kuni baada ya bei ya bidhaa hiyo...
- by adminleo
- September 7th, 2018
Utata zaidi wakumba nchi huku mafuta yakikauka
Na WAANDISHI WETU GIZA limeendelea kutanda kuhusu gharama ya mafuta baada ya Mahakama Kuu mjini Bungoma kusimamisha ushuru mpya, siku...