Tag: magavana
- by adminleo
- July 31st, 2019
Mbunge awakejeli magavana waliorudishia serikali mabilioni
Na Charles Lwanga MBUNGE wa Kilifi Kaskazini, Bw Owen Baya amewataka magavana wawajibike kutokana na ripoti kuwa baadhi ya kaunti...
- by adminleo
- July 21st, 2019
Mipango ya magavana 2022 wakihitimisha mihula ya pili
Na CHARLES WASONGA MAGAVANA 21 ambao wanahudumu muhula wa pili wameanza mikakati ya kujipanga kusudi wasibaki katika baridi ya kisiasa...
- by adminleo
- July 16th, 2019
Wakenya wapuuza kilio cha magavana
LEONARD ONYANGO na VALENTINE OBARA RAIA waliochoshwa na ulafi wa viongozi wa kisiasa nchini, wameonekana kutojali kilio cha magavana...
- by adminleo
- June 23rd, 2019
UGATUZI: Hatari ya shughuli za kaunti kukwama
Na CHARLES WASONGA HUENDA shughuli katika serikali 47 za kaunti zikakwama kuanzia mwezi Julai ikiwa suluhu la mvutano kuhusu ugavi wa...
- by adminleo
- June 19th, 2019
Ajabu ya magavana kuajiri mapasta kuwaombea
Na VALENTINE OBARA MAGAVANA wanawaajiri wahubiri wa kuwaombea na kuwapa ushauri wa kiroho kwa mshahara wa hadi Sh1.7 milioni kwa mwaka,...
- by adminleo
- May 27th, 2019
UFISADI: Magavana wataka ‘waheshimiwe’ wanapokamatwa
Na JUSTUS OCHIENG MAGAVANA wanataka "wapewe heshima" wakati wanapokamatwa kwa madai ya kuhusika kwenye kashfa za ufisadi. Kufuatia...
- by adminleo
- May 27th, 2019
Magavana walia kuteswa na maseneta
Na PETER MBURU MAGAVANA wamelalamika kuwa maseneta wanawapiga vita wakitumia vikao vya kuwahoji kuhusu matumizi ya pesa za...
- by adminleo
- May 22nd, 2019
ONYANGO: Wananchi washinikize magavana kutekeleza manifesto zao
Na LEONARD ONYANGO NI Wakenya wangapi bado wanakumbuka manifesto zilizotolewa na magavana, maseneta, wabunge au madiwani wao kabla ya...
- by adminleo
- April 11th, 2019
Magavana wajitetea dhidi ya shutuma za kupiga kambi Nairobi
Na KENNEDY KIMANTHI MAGAVANA waliokashifiwa kwa kuendesha shughuli za kaunti zao wakiwa Nairobi, wamejitetea kwamba walilalamika kwa...
- by adminleo
- April 7th, 2019
Yafichuka magavana hukodisha ofisi na kufanyia kazi Nairobi
JUSTUS WANGA Na KENNEDY KIMANTHI MIAKA sita baada ya ugatuzi kuanza kazi nchini, magavana wengi bado wanaendesha kaunti zao wakiwa...
- by adminleo
- March 13th, 2019
Magavana wafisadi kusimamishwa kazi wakichunguzwa
Na CHARLES WASONGA MAGAVANA na maafisa wakuu serikalini walioshtakiwa kwa ufisadi watalazimishwa kuondoka afisini kwa muda hadi mahakama...
- by adminleo
- February 4th, 2019
Magavana 40 waliajiri mawaziri bila kuzingatia sheria – EACC
Na VITALIS KIMUTAI MAGAVANA karibu 40 wamekosolewa na Tume ya Maadili na Kupambana na Ufisadi (EACC) kwa kukosa kutimiza mahitaji ya...