Tag: mahakama
- by adminleo
- June 19th, 2020
Uhuru apigwa breki na mahakama
Na RICHARD MUNGUTI MAHAKAMA Kuu Alhamisi zilizuia Serikali ya Rais Uhuru Kenyatta kuendelea kutekeleza mipango miwili ambayo ni muhimu...
- by adminleo
- June 15th, 2020
Mahakama zaanza kushughulikia kesi
Na RICHARD MUNGUTI SHUGHULI za kusikizwa kwa kesi katika Mahakama ya Milimani Nairobi zirejelewa Jumatatu baada ya kusitishwa kwa muda...
- by adminleo
- March 27th, 2020
CORONA: Mahakama ya Milimani yasalia mahame
NA RICHARD MUNGUTI Mahakama kuu ya Milimani imesalia kuwa mahame kufuatia agizo la Jaji Mkuu David Maraga korti kote nchini zifungwe na...
- by adminleo
- January 23rd, 2020
Rais Kenyatta akosa kusoma sehemu ya hotuba yake ‘kudumisha amani’
Na CHARLES WASONGA RAIS Uhuru Kenyatta amekwepa kusoma maneno makali katika hotuba yake, iliyoandikwa, aliyowasilisha katika majengo ya...
- by adminleo
- December 30th, 2019
MATUKIO 2019: Uhuru wa mahakama ulitishiwa pakubwa
Na BENSON MATHEKA KATIKA mwaka wa 2019, tulishuhudia mgogoro kati ya serikali kuu na idara ya mahakama uliofikia kilele Jaji Mkuu David...
- by adminleo
- December 16th, 2019
Korti kuamua iwapo Rais atashurutishwa kuwaapisha
Na Richard Munguti MAJAJI 41 walioteuliwa kujiunga na Mahakama ya Rufaa na Mahakama za kuamua kesi za mashamba na mizozo ya wafanyakazi,...
- by adminleo
- November 13th, 2019
Serikali za kaunti zatakiwa zikabidhi mahakama za manispaa kwa idara ya mahakama
Na MAGDALENE WANJA SERIKALI za kaunti zimetakiwa kuzikabidhi mahakama za manispaa kwa idara ya mahakama kama mojawapo ya njia za...
- by adminleo
- August 29th, 2019
Jaji mkuu David Maraga afungua mahakama ya mjini Ruiru
Na LAWRENCE ONGARO KUNA haja ya serikali kujenga Mahakama nyingi kote nchini ili kutosheleza maswala ya upatikanaji haki na huduma...
- by adminleo
- August 19th, 2019
Maraga akiri majaji wamezembea kuamua kesi
Na MISHI GONGO JAJI Mkuu David Maraga Jumatatu alikiri idara anayosimamia inajikokota katika kuamua kesi. Hii ni baada ya lawama...
- by adminleo
- April 15th, 2019
Majaji 14 motoni akiwamo David Maraga
Na RICHARD MUNGUTI CHUMA ki motoni kwa majaji 14 wa Mahakama ya Juu na Mahakama Kuu ambao huenda wakatimuliwa kazini kwa madai ya...
- by adminleo
- March 24th, 2019
WASONGA: Tusiumbue mahakama, ndio kimbilio letu la mwisho
Na CHARLES WASONGA HALI ya wasiwasi imetanda nchini baada ya Tume ya Huduma za Mahakama (JSC) kufichua kuwa imepokea jumla ya...
- by adminleo
- March 3rd, 2019
JAMVI: Urafiki wa Uhuru na Maraga unavyotisha kuzima uhuru wa mahakama
Na VALENTINE OBARA UHURU wa mahakama unazidi kutiliwa shaka kufuatia jinsi Jaji Mkuu David Maraga anavyoonekana kuwa karibu sana na Rais...