Tag: Makanisa
- by adminleo
- June 21st, 2018
Fedha za wanasiasa mnazotumia kujenga makanisa ni chafu, Keter aonya
Na LEONARD ONYANGO MBUNGE wa Nandi Hills Alfred Keter sasa ametaka viongozi wa kidini kukoma kujenga makanisa kwa kutumia pesa ‘chafu’...
- by adminleo
- June 5th, 2018
Makanisa yasisitiza katiba irekebishwe kubuni uwaziri mkuu
Na CHARLES WANYORO BARAZA Kuu la Muungano wa Makanisa nchini (NCCK) limeibua upya wito wa kutaka kufanyia Katiba mabadiliko ili kubuni...
- by adminleo
- February 28th, 2018
Makanisa yasisitiza uchaguzi wa 2017 wafaa kutathminiwa
Na LEONARD ONYANGO VIONGOZI wa kidini sasa wanataka tathmini ya uchaguzi wa 2017 kufanywa ili kuwe na mabadiliko yatakayohakikisha kuwa...
- by adminleo
- February 15th, 2018
Mhubiri afumaniwa akitafuna kondoo mjini, ang’atwa sikio
Na CORNELIUS MUTISYA MACHAKOS MJINI KIOJA kilishuhudiwa katika klabu mjini hapa pasta maarufu alipong’atwa sikio na mume wa muumini...
- by adminleo
- February 14th, 2018
Wakerwa na mhubiri kuwataka waoe kanisani
Na DENNIS SINYO MAGEMO, WEBUYE MASHARIKI WAUMINI wa kanisa moja la eneo hili walitishia kugura kanisa hilo wakidai pasta wao alikataa...
- by adminleo
- February 14th, 2018
Taharuki yatanda kijijini mwanamume kuvamiwa na kuuawa kanisani
Na MAGDALENE WANJA HOFU ilitanda katika kijiji cha Kimangu eneo la Rongai, kaunti ya Nakuru baada ya manamume mwenye umri wa miaka 75...
- by adminleo
- February 13th, 2018
NGUGI: Kanisa linachangia matatizo ya kifamilia nchini
[caption id="attachment_1404" align="aligncenter" width="800"] Biblia Takatifu.Kanisa likikomesha vita na ung’ang’aniaji vyeo...
- by adminleo
- February 11th, 2018
Makanisa yataka serikali izime ‘Samantha’
[caption id="attachment_1183" align="aligncenter" width="800"] Kinyago cha wanaume kujiburudisha kimapenzi almaarufu 'Samantha'. Makanisa...