Tag: Makanisa
- by adminleo
- March 23rd, 2020
Kioja cha ukahaba kuvuma makanisani
Na SAMMY WAWERU Uthiru, ni mojawapo ya mitaa inayounda kaunti ya Kiambu, na ambao ramani inaonyesha unapatikana katika eneobunge la...
- by adminleo
- March 19th, 2020
CORONA: Hakuna kwenda kanisani, msikitini
Na PHYLLIS MUSASIA BAADHI ya makanisa na misikiti imetangaza kusitisha ibada pamoja na shughuli nyinginezo ili kuwakinga waumini...
- by adminleo
- September 28th, 2019
Mamilioni ya Ruto yagawanya makanisa
Na NDUNGU GACHANE VIONGOZI wa makanisa wamegawanyika kuhusu mikutano ya harambee ambayo Naibu Rais William Ruto amekuwa akifanya huku...
- by adminleo
- August 12th, 2019
NGILA: Usimkejeli mwenzio anayetumia simu kusoma Biblia kanisani
NA FAUSTINE NGILA KWA muda mrefu sasa, athari za teknolojia kwa dini zimekuwa zikioneknana kuwa mbaya kwa waumini. Lakini imani hii...
- by adminleo
- July 23rd, 2019
Mhubiri wa SDA akatakata mke wa ndugu yake
Na NDUNGU GACHANE POLISI katika Kaunti ya Murang’a wanamsaka mhubiri wa kanisa la SDA, ambaye alimvamia shemeji yake na kumkatakata...
- by adminleo
- June 24th, 2019
Watakaozima michango makanisani wataangamizwa na Mungu – Ruto
DERICK LUVEGA na CHARLES WASONGA NAIBU Rais William Ruto amewasuta wanasiasa wanaopanga kudhibiti michango kanisani kupitia mswada...
- by adminleo
- April 30th, 2019
WANDERI: Dini ina nafasi muhimu kwa jamii, ilindwe vilivyo
Na WANDERI KAMAU NI dhahiri kuwa maabadi yoyote ni pahali patakatifu ambapo panapaswa kuheshimiwa. Licha ya tofauti nyingi zilizomo...
- by adminleo
- April 23rd, 2019
Raila ni mkono gamu, makanisa ya Nyanza yasema
Na RUSHDIE OUDIA BAADHI ya viongozi wa makanisa eneo la Nyanza wamemkashifu kinara wa chama cha ODM, Raila Odinga kwa kuwakataza kupokea...
- by adminleo
- April 19th, 2019
Makanisa yakataa ‘siasa’ katika maabadi
Na PETER MBURU MAKANISA makuu nchini yamewaagiza viongozi wake wasiruhusu wanasiasa kupiga siasa au kuongoza harambee za kuchangisha pesa...
- by adminleo
- March 19th, 2019
Wahubiri wanavyokoroga dini nchini
VALENTINE OBARA na AGEWA MAGUT SIFA ya kanisa iliendelea kuharibika Jumatatu, baada ya wahubiri wawili maarufu kuendelea kuanikwa kwa...
- by adminleo
- March 18th, 2019
Askofu aunga mkono wito wa kudhibiti makanisa
Na OSBORNE MANYENGO ASKOFU wa Kanisa la Anglikana (ACK) Dayosisi ya Kitale, Dkt Emmanuel Chemengich ameunga mkono juhudi za kudhibiti...
- by adminleo
- March 6th, 2019
Si visima vya maji, asema Kagame huku akifunga makanisa 6,000
Na PETER MBURU RAIS wa Rwanda Paul Kagame mapema Machi alifunga makanisa 6,000 katika taifa lake kufuatia visa vingi vya madai kuwa...