• Nairobi
  • Last Updated May 2nd, 2024 8:55 PM

Hofu safari zikikwama Mto Athi sababu ya mamba

Na PIUS MAUNDU HALI ya wasiwasi imeibuka miongoni mwa wakazi wa kaunti za Kitui na Makueni, baada ya mhudumu wa boti ambaye huwasaidia...

Mfugaji mamba apata hasara kuu

Na CHARLES LWANGA Shamba la mamba mjini Malindi limefuta wafanyakazi 10 kutokana na hali ngumu ya uchumi iliyosababishwa na maambukizi...

Majonzi mtoto kuliwa na mamba

Na Alex Njeru FAMILIA moja katika kijiji cha Majara, kaunti ndogo ya Tharaka Kusini inaomboleza kifo cha mtoto wao wa shule ya msingi...

Msichana jasiri ajitoa mdomoni mwa mamba

Na STEPHEN ODUOR MSICHANA wa umri wa miaka 12 katika Kaunti ya Tana River amezua gumzo mtaani kutokana na kitendo chake cha ujasiri...

Maafisa wa KWS motoni kwa kuua mwanamume na kulisha mamba mwili wake

NA CHARLES WASONGA MAAFISA sita wa Shirika la Wanyamapori Nchini (KWS) wanazuiliwa katika Kituo cha Polisi cha Malindi kuhusiana na...

Baba amng’ata mamba mguu kuokoa mwanawe

MAHIRIKA Na PETER MBURU BABA mmoja kutoka Ufilipino Alimwokoa mwanawe wa kiume kutoka mdomo wa mamba kwa kumuuma mnyama huyo mguuni hadi...

Wanakijiji waua mamba 300 kulipiza kisasi

Na MASHIRIKA JAKARTA, INDONESIA WANAKIJIJI waliua mamba karibu 300 kulipiza kisasi kwa mwenzao aliyeangamizwa na mmoja wa wanyama...

Pasta auawa na mamba akibatiza waumini ziwani

Na MASHIRIKA MERKEB TABYA, ETHIOPIA PASTA wa kanisa la Kiprotestanti aliuawa na mamba alipokuwa akibatiza waumini karibu na ziwa...