Tag: mamba
Hofu safari zikikwama Mto Athi sababu ya mamba
Na PIUS MAUNDU HALI ya wasiwasi imeibuka miongoni mwa wakazi wa kaunti za Kitui na Makueni, baada ya mhudumu wa boti ambaye huwasaidia...
- by adminleo
- June 15th, 2020
Mfugaji mamba apata hasara kuu
Na CHARLES LWANGA Shamba la mamba mjini Malindi limefuta wafanyakazi 10 kutokana na hali ngumu ya uchumi iliyosababishwa na maambukizi...
- by adminleo
- June 1st, 2020
Majonzi mtoto kuliwa na mamba
Na Alex Njeru FAMILIA moja katika kijiji cha Majara, kaunti ndogo ya Tharaka Kusini inaomboleza kifo cha mtoto wao wa shule ya msingi...
- by adminleo
- January 1st, 2020
Msichana jasiri ajitoa mdomoni mwa mamba
Na STEPHEN ODUOR MSICHANA wa umri wa miaka 12 katika Kaunti ya Tana River amezua gumzo mtaani kutokana na kitendo chake cha ujasiri...
- by adminleo
- March 17th, 2019
Maafisa wa KWS motoni kwa kuua mwanamume na kulisha mamba mwili wake
NA CHARLES WASONGA MAAFISA sita wa Shirika la Wanyamapori Nchini (KWS) wanazuiliwa katika Kituo cha Polisi cha Malindi kuhusiana na...
- by adminleo
- January 31st, 2019
Baba amng’ata mamba mguu kuokoa mwanawe
MAHIRIKA Na PETER MBURU BABA mmoja kutoka Ufilipino Alimwokoa mwanawe wa kiume kutoka mdomo wa mamba kwa kumuuma mnyama huyo mguuni hadi...
- by adminleo
- July 23rd, 2018
Wanakijiji waua mamba 300 kulipiza kisasi
Na MASHIRIKA JAKARTA, INDONESIA WANAKIJIJI waliua mamba karibu 300 kulipiza kisasi kwa mwenzao aliyeangamizwa na mmoja wa wanyama...
- by adminleo
- June 7th, 2018
Pasta auawa na mamba akibatiza waumini ziwani
Na MASHIRIKA MERKEB TABYA, ETHIOPIA PASTA wa kanisa la Kiprotestanti aliuawa na mamba alipokuwa akibatiza waumini karibu na ziwa...