Tag: matiang’i
- by adminleo
- April 8th, 2018
Viongozi wa Jubilee wamponda Maraga, wamsifu Matiang’i
Na PETER MBURU VIONGOZI wa Jubilee wamemkabili vikali Jaji Mkuu David Maraga kwa kutetea majaji ambao wanadaiwa kutoa maagizo ya kuzuia...
- by adminleo
- April 5th, 2018
Mfanyabiashara aitaka bunge limtimue Matiang’i kazini
Na CHARLES WASONGA MFANYABIASHARA mmoja amelitaka Bunge la Kitaifa kubaini ikiwa Waziri wa Usalama Dkt Fred Matiang'i anastahili...
- by adminleo
- April 5th, 2018
Maraga amkemea Matiang’i kuita majaji ‘wakora’
Na CHARLES WASONGA JAJI Mkuu David Maraga Alhamisi alimshambulia Waziri wa Usalama Fred Matiang'i kwa madai yake kwamba "genge la majaji...
- by adminleo
- April 4th, 2018
Raila amfokea Matiang’i kwa kudai majaji ni wakora
Na LEONARD ONYANGO KINARA wa Upinzani Raila Odinga Jumatano amemkemea Waziri wa Usalama Fred Matiang’i kwa kudunisha Idara ya...
- by adminleo
- April 3rd, 2018
Serikali haikupewa agizo na korti yoyote, Miguna hakufurushwa – Matiang’i
JOHN NGIRACHU na ELVIS ONDIEKI WAZIRI wa Usalama Dkt Fred Matiang'i Jumanne ametetea vikali serikali kuhusu jinsi ilishughulikia kesi ya...
- by adminleo
- March 29th, 2018
Kiburi cha Matiang’i, Boinnet na Kihalangwa kimeiletea Kenya aibu kuu – Jaji Odunga
Na RICHARD MUNGUTI KINYUME na matarajio ya kila mmoja Jaji George Odunga Alhamisi alikataa kuwatimua kazini Waziri Fred Matiang’I ,...
- by adminleo
- March 28th, 2018
Kesi ya Miguna: Matiang’i, Boinnet na Kihalangwa kujua hatima yao Alhamisi
Na RICHARD MUNGUTI Kwa ufupi: Jaji George Odunga awapata na hatia Mabw Matiang’i, Kihalangwa na Boinnet ya kudharau na kukaidi...
- by adminleo
- March 28th, 2018
Matiang’i, Kihalangwa na Boinnet waitwa kortini kuhusu Miguna
Na MAUREEN KAKAH Mahakama Kuu sasa imewaagiza maafisa watatu wa ngazi ya juu serikalini kufika kortini Jumatano alasiri kuhusu kesi ya...
- by adminleo
- March 14th, 2018
Aliyeshtakiwa kumtusi Matiang’i akabiliwa na shtaka la kughushi kitambulisho
[caption id="attachment_2954" align="aligncenter" width="800"] Wyclife Asuga Nyaega akiwa kortini Machi 13, 2018. Picha/RICHARD...
- by adminleo
- February 28th, 2018
Serikali yaahidi kukomesha ugaidi unaovuruga elimu Wajir
Na WANDERI KAMAU SERIKALI Jumatano ilisema imebuni mpango ambao utahakikisha kwamba shughuli za masomo hazitaathiriwa katika Kaunti ya...
- by adminleo
- February 14th, 2018
Wakazi Kisii waandamana kukejeli matamshi ya Babu Owino dhidi ya Matiang’i
[caption id="attachment_1497" align="aligncenter" width="800"] Wakazi waandamana mjini Kisii kukashifu matamshi yasiyo na heshima ya mbunge...