• Nairobi
  • Last Updated April 28th, 2024 3:31 PM

La Liga sasa kurejelewa Juni 12

Na MASHIRIKA RAIS wa Ligi Kuu ya Uhispania (La Liga), Javier Tebas amefichua mipango ya kurejelewa kwa kampeni za kipute hicho msimu huu...

Wenger amtunuka sifa chipukizi Kylian Mbappe

Na CHRIS ADUNGO KOCHA wa zamani wa Arsenal, Arsene Wenger, amesema kwamba chipukizi Kylian Mbappe ndiye aliye na uwezo wa kuendeleza...

Guardiola hataki Messi atoke Barcelona

Na CHRIS ADUNGO KOCHA Pep Guardiola amefutilia mbali tetesi zinazomhusisha nyota Lionel Messi na uwezekano wa kubanduka Barcelona na...

Messi aibuka mchezaji bora kwa mara ya sita

Na MASHIRIKA PARIS, Ufaransa LIONEL Messi wa klabu ya Barcelona ndiye mshindi wa Ballon d'Or kwa mwaka huu wa 2019, hii ikiwa mara...

Barcelona kileleni La Liga baada ya kuipiga Atletico

Na MASHIRIKA MADRID, UHISPANIA LIONEL Messi alifunga bao la dakika za mwisho na kuwasaidia Barcelona kusajili ushindi wa 1-0 dhidi ya...

Barca 16-bora kwa nyanyaso za Messi

Na MASHIRIKA BARCELONA, Uhispania LIONEL Messi alihakikisha kuwa mechi yake ya 700 akiwa mwanasoka wa Barcelona inakuwa ya kihistoria...

Hakuna mgawanyiko kati ya wachezaji au klabu – Messi

Na MASHIRIKA BARCELONA, Uhispania LIONEL Messi alisisitiza Jumatano kuwa hakuna uhasama kati yake na Antoine Griezmann ama mgawanyiko...

Messi, Ronaldo, Neymar ndio wanaspoti matajiri zaidi duniani

Na MASHIRIKA NEW YORK, Amerika NYOTA Lionel Messi wa Barcelona ndiye mwanamichezo anayelipwa pesa nyingi zaidi kuliko mchezaji yeyote...

Messi aishauri Barca iwauze Coutinho, Rakitic na Umtiti

NA CECIL ODONGO NYOTA wa Barcelona Lionel Messi anadaiwa kueleza uongozi wa timu hiyo kuwatimua Philippe Coutinho, Ivan Rakitic na...

Messi awaokoa Barca dhidi ya Nari Villareal

Na MASHIRIKA BARCELONA, Uihspania ILIBIDI kocha Ernesto Valverde wa Barcelona amuingize staa Lionel Messi kusaidia kikosi chake...

Messi afungia Barcelona ‘hat trick’ ya 33 La Liga

Na MASHIRIKA BARCELONA, UHISPANIA LIONEL Messi alifunga mabao matatu katika ushindi wa 4-1 uliosajiliwa na Barcelona dhidi ya Real Betis...

Barca yawazia maisha bila Messi

Na GEOFFREY ANENE Barcelona imeanza kujiandaa kwa maisha bila supastaa Lionel Messi. Mshambuliaji huyu matata kutoka Argentina amekuwa...