• Nairobi
  • Last Updated May 2nd, 2024 8:55 PM

KINAYA: Jenerali Miguna, japo mkali kama chui bado binadamu, baba ya mtu

Na DOUGLAS MUTUA MOJAWAPO ya picha alizopigwa ‘Jenerali’ Miguna Miguna akiwa korokoroni juzi imenipa mtihani wa...

Miguna sasa amlaumu Raila kwa kushindwa kumnusuru

Na CHARLES WASONGA KWA mara ya kwanza kiongozi wa vuguvugu la NRM Miguna Miguna amemsuta kiongozi wa NASA Raila Odinga kwa kufeli...

Orengo ataka Raila asitishe muafaka na Uhuru

Na JUSTUS WANGA CHAMA cha ODM sasa kinamtaka kiongozi wake Raila Odinga kusitisha ushirikiano wake na Rais Uhuru Kenyatta kutokana na...

‘Ni kibarua kigumu kumsaidia Miguna’

CHARLES WASONGA na JUSTUS OCHIENG' MAWAKILI, watetezi wa haki za kibinadamu na baadhi ya wanasiasa wameelezea kutamaushwa kwao na...

Joho amtembelea Miguna hospitalini Dubai

WINNIE ATIENO na CHARLES WASONGA GAVANA wa Mombasa Ali Hassan Joho Alhamisi alimtembelea mwanaharakati wa NASA Dkt Miguna Miguna ambaye...

Ni kama drama! Miguna akumbana na masaibu zaidi wakati wa Pasaka

Na BENSON MATHEKA SAKATA ya wakili Miguna Miguna imegeuka kuwa mchezo wa sarakasi ila mchezo wenyewe unahusu masuala mazito ya haki za...

Jombi atisha kutimua mke kwa kukataa kuamini ushirikina

Na LEAH MAKENA GATUNGA, THARAKA POLO wa hapa alitisha kumfurusha mkewe akimlaumu kwa kuchochea wanawe kutokubali dawa ya mganga ya...

Iweje Kenya impeleke Miguna Dubai akateseke kama yatima? auliza Makau Mutua

[caption id="attachment_3864" align="aligncenter" width="800"] Mfanyabiashara maarufu Jimi Wanjigi (kushoto), wakili Prof Makau Mutua, Bw...

Orengo ataka Miguna aundiwe pasi maalum ya usafiri apelekewe Dubai

[caption id="attachment_3861" align="aligncenter" width="800"] Wakili na Seneta wa Siaya James Orengo. Picha/ Maktaba[/caption] Na RICHARD...

Wakili Mutinda aponea kusukumwa jela kwa kuwa ‘mwongo’

Na RICHARD MUNGUTI WAKILI wa Serikali Charles Mutinda yuko na bahati kama mtende kwa vile aliponyoka kusukumwa jela kwa madai hakuwaarifu...

MCK yataka visa vya wanahabari kuvamiwa vichunguzwe

Na BENSON MATHEKA OFISI ya Mkurugenzi wa Mashtaka ya Umma (DPP) inafaa kuchunguza visa vya kushambulia wanahabari wakiwa kazini na...

Ni aibu kwa serikali kumnyanyasa raia aliyezaliwa Kenya – Mashirika

Na BENSON MATHEKA MASHIRIKA ya kutetea haki za binadamu humu nchini na ya kimataifa,  yameshutumu serikali ya Kenya kwa kumnyanyasa...