• Nairobi
  • Last Updated May 17th, 2024 9:50 AM

LSK yakerwa na mazoea ya maafisa wa serikali kudharau sheria

Na BENSON MATHEKA CHAMA cha Wanasheria Kenya (LSK), Alhamisi kilisikitishwa na hatua ya maafisa wa  serikali ya kudharau na kupuuza...

TAHARIRI: Polisi waheshimu amri za mahakama

Na MHARIRI Hatua ya Serikali kuendelea kumzuilia wakili na mwanasiasa Miguna Miguna katika uwanja wa kimataifa wa ndege wa Jomo...

Miguna apokea matibabu jijini Dubai baada ya maumivu kumzidi

WYCLIFFE MUIA na HARRY MISIKO WAKILI mbishi Dkt Miguna Miguna Alhamisi amelazwa hosiptalini katika uwanja wa ndege wa Dubai, nchini...

Kesi ya Miguna: Matiang’i, Boinnet na Kihalangwa kujua hatima yao Alhamisi

Na RICHARD MUNGUTI Kwa ufupi: Jaji George Odunga awapata na hatia Mabw Matiang’i, Kihalangwa na Boinnet ya kudharau na kukaidi...

Kuhangaisha Miguna ni njama ya kuvuruga muafaka wa Uhuru na Raila, asema mbunge

Na CHARLES WASONGA MBUNGE wa Nyando Jared Opiyo amedai kuzuiliwa na kuhangaishwa kwa mwanaharakati wa vuguvugu la "National Resistance...

Bila Miguna, hakuna amani, wakazi Kisumu waimba

RUSHDIE OUDIA na EDDY ODHIAMBO WAKAZI wa Kisumu Jumatano waliandamana katika eneo la Kondele, kulalamikia kuendelea kuzuiliwa kwa...

Matiang’i, Kihalangwa na Boinnet waitwa kortini kuhusu Miguna

Na MAUREEN KAKAH Mahakama Kuu sasa imewaagiza maafisa watatu wa ngazi ya juu serikalini kufika kortini  Jumatano alasiri kuhusu kesi ya...

TAHARIRI: Miguna hakustahili kudhalilishwa JKIA

Na MHARIRI SERIKALI inapaswa kushughulikia utata kuhusu uraia wa mwanaharati wa upinzani Miguna Miguna kwa kufuata sheria bila kuwasha...

Kimya cha Raila kuhusu Miguna chashangaza wengi

Na BENSON MATHEKA KINARA wa NASA, Raila Odinga ameshangaza wengi kwa kimya chake kuhusu masaibu ya wakili Miguna Miguna, ambaye...

Miguna alizuiliwa ndani ya choo JKIA, wasema mawakili

[caption id="attachment_3677" align="aligncenter" width="800"] Wakili wa Dkt Miguna Miguna, Bw Nelson Havi. Picha/Maktaba[/caption] Na...

Miguna ni tisho kwa utawala wa Uhuru – Wadadisi

CHARLES WASONGA na WANDERI KAMAU HISIA mseto zimetolewa kuhusiana na uzito ambao serikali imechukulia zogo kuhusu uraia wa Miguna Miguna...

Mahakama yaagiza Miguna aachiliwe mara moja

Na RICHARD MUNGUTI MAHAKAMA Kuu Jumanne iliamuru wakili Miguna Miguna anayezuiliwa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta...