• Nairobi
  • Last Updated May 13th, 2024 9:55 AM

Matiang’i atabomoa mafia wa mihadarati?

Na VALENTINE OBARA WAZIRI wa Usalama wa Nchi, Dkt Fred Matiang’i anakabiliwa na moja ya vita vikali zaidi tangu alipoteuliwa waziri...

WASONGA: Matiang’i ajue mbinu za kisasa za walanguzi

NA CHARLES WASONGA WAZIRI wa Usalama, Dkt Fred Matiang'i mnamo Jumapili alitangaza kuwa serikali imeanzisha upya vita dhidi ya dawa za...

Operesheni ya Matiang’i yang’oa nanga Pwani

MOHAMED AHMED na KALUME KAZUNGU AGIZO la Waziri wa Usalama wa Ndani, Dkt Fred Matiang'i kuhusu vita dhidi ya mihadarati limeanza...

Matiang’i atangaza vita dhidi ya mihadarati

MOHAMMED AHMED NA MISHI GONGO WAZIRI wa Usalama wa Nchi, Dkt Fred Matiang’i ameanzisha upya vita dhidi ya dawa za kulevya katika Pwani...

Mihadarati: Mkenya ahukumiwa kifungo cha maisha jela nchini Uchina

Na AGGREY MUTAMBO na MARY WANGARI MKENYA mwenye umri wa miaka 44 amehukumiwa kifungo cha maisha gerezani nchini Uchina baada ya...

Utumiaji wa mihadarati haufai kuwa kosa – Sabina Chege

Na MWANGI MUIRURI WATUMIAJI wa dawa za kulevya hawatakuwa wakikamatwa na kufungwa jela iwapo Bunge litaidhinisha mapendekezo ya...

Polisi ndani baada ya kunaswa wakiiba Heroin ya Sh75 milioni

BERNARDINE MUTANU na BENSON MATHEKA MAAFISA wa polisi walikamatwa Jumamosi na makachero kwa kujaribu kuiba dawa za kulevya za thamani ya...

Madai ya ‘Tangatanga’ Joho analangua mihadarati ni upuuzi – Junet Mohamed

Na CHARLES WASONGA WABUNGE wa ODM Jumatano waliendelea kumtetea Gavana wa Mombasa Ali Hassan Joho baada ya wandani wa Naibu Rais William...

Joho awashtaki wandani wa Ruto kwa kumhusisha na mihadarati

Na IBRAHIM ORUKO GAVANA wa Mombasa Ali Hassan Joho ametekeleza vitisho vyake na kuwashtaki wanasiasa wanne wandani wa Naibu Rais William...

Nina ushahidi wa kuthibitisha Joho ni mlanguzi wa mihadarati – Gavana Sang

Na CHARLES WASONGA MALUMBANO baina ya Gavana wa Mombasa Ali Hassan Joho na mwenzake wa Nandi Stephen Sang’ kuhusu mihadarati...

Joho atetewa kuhusu madai ya mihadarati

Na CHARLES WASONGA WABUNGE watatu wa ODM Jumatano walipuuzilia mbali madai ya Gavana wa Nandi, Stephen Sang’ kwamba mwenzake wa...

LAMU: Washinikiza mafunzo ya mihadarati yajumuishwe kwa madrassa

NA KALUME KAZUNGU BARAZA la wazee, miungano ya akina mama na vijana Kaunti ya Lamu yanashinikiza somo la dawa za kulevya, athari zake na...