Tag: mihadarati
- by adminleo
- August 15th, 2019
Matiang’i atabomoa mafia wa mihadarati?
Na VALENTINE OBARA WAZIRI wa Usalama wa Nchi, Dkt Fred Matiang’i anakabiliwa na moja ya vita vikali zaidi tangu alipoteuliwa waziri...
- by adminleo
- August 12th, 2019
WASONGA: Matiang’i ajue mbinu za kisasa za walanguzi
NA CHARLES WASONGA WAZIRI wa Usalama, Dkt Fred Matiang'i mnamo Jumapili alitangaza kuwa serikali imeanzisha upya vita dhidi ya dawa za...
- by adminleo
- August 12th, 2019
Operesheni ya Matiang’i yang’oa nanga Pwani
MOHAMED AHMED na KALUME KAZUNGU AGIZO la Waziri wa Usalama wa Ndani, Dkt Fred Matiang'i kuhusu vita dhidi ya mihadarati limeanza...
- by adminleo
- August 12th, 2019
Matiang’i atangaza vita dhidi ya mihadarati
MOHAMMED AHMED NA MISHI GONGO WAZIRI wa Usalama wa Nchi, Dkt Fred Matiang’i ameanzisha upya vita dhidi ya dawa za kulevya katika Pwani...
- by adminleo
- July 26th, 2019
Mihadarati: Mkenya ahukumiwa kifungo cha maisha jela nchini Uchina
Na AGGREY MUTAMBO na MARY WANGARI MKENYA mwenye umri wa miaka 44 amehukumiwa kifungo cha maisha gerezani nchini Uchina baada ya...
- by adminleo
- May 29th, 2019
Utumiaji wa mihadarati haufai kuwa kosa – Sabina Chege
Na MWANGI MUIRURI WATUMIAJI wa dawa za kulevya hawatakuwa wakikamatwa na kufungwa jela iwapo Bunge litaidhinisha mapendekezo ya...
- by adminleo
- March 10th, 2019
Polisi ndani baada ya kunaswa wakiiba Heroin ya Sh75 milioni
BERNARDINE MUTANU na BENSON MATHEKA MAAFISA wa polisi walikamatwa Jumamosi na makachero kwa kujaribu kuiba dawa za kulevya za thamani ya...
- by adminleo
- February 6th, 2019
Madai ya ‘Tangatanga’ Joho analangua mihadarati ni upuuzi – Junet Mohamed
Na CHARLES WASONGA WABUNGE wa ODM Jumatano waliendelea kumtetea Gavana wa Mombasa Ali Hassan Joho baada ya wandani wa Naibu Rais William...
- by adminleo
- February 6th, 2019
Joho awashtaki wandani wa Ruto kwa kumhusisha na mihadarati
Na IBRAHIM ORUKO GAVANA wa Mombasa Ali Hassan Joho ametekeleza vitisho vyake na kuwashtaki wanasiasa wanne wandani wa Naibu Rais William...
- by adminleo
- February 5th, 2019
Nina ushahidi wa kuthibitisha Joho ni mlanguzi wa mihadarati – Gavana Sang
Na CHARLES WASONGA MALUMBANO baina ya Gavana wa Mombasa Ali Hassan Joho na mwenzake wa Nandi Stephen Sang’ kuhusu mihadarati...
- by adminleo
- January 31st, 2019
Joho atetewa kuhusu madai ya mihadarati
Na CHARLES WASONGA WABUNGE watatu wa ODM Jumatano walipuuzilia mbali madai ya Gavana wa Nandi, Stephen Sang’ kwamba mwenzake wa...
- by adminleo
- January 2nd, 2019
LAMU: Washinikiza mafunzo ya mihadarati yajumuishwe kwa madrassa
NA KALUME KAZUNGU BARAZA la wazee, miungano ya akina mama na vijana Kaunti ya Lamu yanashinikiza somo la dawa za kulevya, athari zake na...