Tag: Mike Sonko
- by adminleo
- July 26th, 2020
Sonko azomewa kwa kudai kuwa alileweshwa Ikulu
Na BENSON MATHEKA GAVANA wa Nairobi Mike Sonko ametakiwa akomeshe sarakasi za kutisha kutamatisha mkataba wa kuhamisha baadhi ya...
- by adminleo
- December 22nd, 2019
Mutula Kilonzo ajitetea kumwakilisha Sonko
Na PIUS MAUNDU SENETA Mutula Kilonzo Junior wa Makueni amejitetea vikali dhidi ya shutuma za kumwakilisha Gavana Mike Sonko kwenye kesi...
- by adminleo
- November 22nd, 2019
Kesi ya Sonko isikizwe na mahakama ya ufisadi, aamuru jaji
Na RICHARD MUNGUTI MAHAKAMA kuu imeamuru kesi iliyowasilishwa na Gavana wa Nairobi Mike Sonko akipinga kuchunguzwa na Tume ya Kupambana...
- by adminleo
- November 14th, 2019
TAHARIRI: Sonko aondoe mzaha katika usimamizi wa kaunti
NA MHARIRI KAUNTI ya Nairobi ina fahari na jivunio kubwa la kuwa mji mkuu wa nchi wenye serikali kuu inayoendesha shughuli anuwai za...
- by adminleo
- November 10th, 2019
Wazee wa Kaya wamuombea Sonko, waunga mkono BBI
Na FADHILI FREDRICK WAZEE wa Kaya eneo la Pwani walimfanyia Gavana wa Nairobi Mike Sonko maombi maalumu katika eneo takatifu la Kaya...
- by adminleo
- November 7th, 2019
Walinzi 4 wa sonko washtakiwa kwa kutusi polisi
Na Richard Munguti WALINZI wanne wa Gavana Mike Sonko walikamatwa tena Jumatano baada ya kuachiliwa kwa dhamana ya Sh100,000 na mahakama...
- by adminleo
- November 6th, 2019
Wahuni wa Sonko wapiga waandishi
Na BENSON MATHEKA KUNDI la wanaume walioandamana na Gavana wa Nairobi, Mike Sonko Jumanne lilitatiza utulivu katikati ya jiji walipozua...
- by adminleo
- November 2nd, 2019
Sonko atolewa pumzi
Na MWANDISHI WETU MASAIBU ya Gavana wa Nairobi, Mike Sonko yanaendelea kuongezeka hata zaidi baada ya kukabiliwa na kibarua kingine cha...