• Nairobi
  • Last Updated April 30th, 2024 8:55 PM

Matumaini ya Sonko kujiokoa yamo kortini tu

Na COLLINS OMULO GAVANA wa Nairobi, Mike Sonko kwa mara nyingine ameelekea kortini ili kujinnusuru huku hoja ya kumtimua ikitarajiwa...

Sonko aelekea ‘kichinjioni’ hoja ikipita

Na COLLINS OMULO MADIWANI wa Kaunti ya Nairobi wameanza rasmi mchakato mpya wa kumng’oa Gavana Mike Sonko mamlakani. Hii ni baada...

Madiwani wadai ipo njama mpya ya kumtimua Sonko

Na COLLINS OMULO BAADHI ya madiwani katika Kaunti ya Nairobi wanadai kwamba kuna njama za kufufua upya juhudi za kumng’oa mamlakani...

Sonko, Badi warushiana tope kuhusu taka mitaani

Na COLLINS OMULO UHASAMA kati ya Gavana wa Nairobi Mike Sonko na Mkurugenzi wa Idara ya Huduma ya jiji la Nairobi (NMS), Meja Jemedari...

Je, Sonko anajichongea kumshambulia Rais?

Na CHARLES WASONGA GAVANA wa Nairobi Mike Sonko amewaacha wengi vinywa wazi katika siku za hivi karibuni kutokana na hatua yake ya...

Sonko aendelea kunyolewa bila maji

Na COLLINS OMULO GAVANA wa Nairobi Mike Mbuvi Sonko anaendelea kuvuliwa mamlaka zaidi baada ya Bunge la Kaunti ya Nairobi kuhamisha...

Sonko avuliwa nguo zaidi

COLLINS OMULO na BENSON MATHEKA GAVANA wa Kaunti ya Nairobi, Mike Mbuvi Sonko, anaendelea kupunguziwa mamlaka yake huku Idara ya Huduma...

Sonko aelekea korti ya rufaa kuhusu usimamizi wa jiji

Na JOSEPH WANGUI GAVANA wa Nairobi, Bw Mike Sonko ameelekea katika mahakama ya rufaa kulalamikia uamuzi wa Mahakama Kuu uliohalalisha...

Ni gavana spesheli?

Na BENSON MATHEKA WAKATI magavana wanaoshtakiwa kwa ufisadi wanajipata kwenye baridi kwa kuzuiwa kutekeleza majukumu yao baada ya...

Yabainika upatanisho wa Sonko, Badi ulikwama

Na COLLINS OMULO KUNDI la kutatua mzozo kati ya Gavana Mike Sonko na Idara ya Huduma ya jiji la Nairobi (NMS), limeomba liongezewe siku...

Sonko, Badi wazidi kuvutania ukusanyaji kodi

Na COLLINS OMULO MVUTANO wa Gavana wa Nairobi Mike Sonko dhidi ya Mkurugenzi wa Shirika la Huduma la Nairobi (NMS) Mohammed Badi, sasa...

Jenerali Badi atoa kauli yake kuhusu Sonko

BENSON MATHEKA na COLLINS OMULO MKURUGENZI wa Idara ya Huduma za Nairobi (NMS), Meja Jenerali Mohamed Badi, hatimaye amevunja kimya...