• Nairobi
  • Last Updated May 4th, 2024 10:15 PM

MKU na UNITAR zaingia kwenye mkataba wa ushirikiano wa kufanya utafiti na kutoa mafunzo

Na LAWRENCE ONGARO CHUO Kikuu cha Mount Kenya (MKU) na Taasisi ya Umoja wa Mataifa ya Mafunzo na Utafiti - United Nations Institute for...

MKU yapata ufadhili

Na LAWRENCE ONGARO KITENGO cha sayansi katika Chuo Kikuu cha Mount Kenya (MKU) kimepokea ufadhili kutoka chuo kimoja cha nje kwa ajili...

Wanafunzi wapya wa MKU wapewa mwongozo na mwelekeo

Na LAWRENCE ONGARO WANAFUNZI wapya waliojiunga na Chuo Kikuu cha Mount Kenya (MKU) wamehimizwa kujibidiisha masomoni. Mnamo Jumanne...

MKU, Posta zaingia katika maelewano ya ushirikiano

Na LAWRENCE ONGARO CHUO Kikuu cha Mount Kenya (MKU) kimeingia katika mkataba wa ushirikiano na Posta pamoja na TV 47. Shirika la...

Wanafunzi wanaosomea udaktari washauriwa kurejea chuoni MKU Thika

Na LAWRENCE ONGARO CHUO Kikuu cha Mount Kenya (MKU) kimetoa ilani kwa wanafunzi wa mwaka wa mwisho wa masomo ya afya kuripoti chuoni...

Mamlaka ya KNQA yakagua MKU

Na LAWRENCE ONGARO MAMLAKA ya Kitaifa ya Kuainisha Kufuzu kwa Asasi za Elimu ya Juu - Kenya National Qualifications Authority (KNQA) -...

MKU kutumia mtandao katika sherehe ya kufuzu kwa mahafali Oktoba

Na LAWRENCE ONGARO WANAFUNZI wa wa Chuo Kikuu cha Mount Kenya (MKU) waliokamilisha utafiti katika kozi mbalimbali wanajiandaa kufuzu kwa...

MKU yapokea tuzo ya hadhi ya kimataifa sambamba na Sh2 milioni

Na LAWRENCE ONGARO CHUO Kikuu cha Mount Kenya kimepokea tuzo ya hadhi ya kimataifa kwa kusambaza maji safi kwa mwananchi na pia...

MKU yaweka mkakati mpya wa kuboresha shughuli na utoaji huduma

Na LAWRENCE ONGARO KUNA haja ya kila mfanyakazi kuzingatia majukumu aliyopewa kuyatekeleza ili kufanikisha malengo ya mwajiri...

Bidco Africa na MKU kwenye mkataba wa ushirikiano

Na LAWRENCE ONGARO KAMPUNI ya Bidco Africa Limited na Chuo Kikuu cha Mount Kenya (MKU) zimeweka mkataba maalum ili kuona ya kwamba...

Kituo cha utafiti kufunguliwa MKU

Na LAWRENCE ONGARO CHUO Kikuu cha Mount Kenya (MKU) kimepitisha mpango wa kubuni kituo cha utafitii kwa lengo la kujiendeleza zaidi...

Wahitimu wa MKU wahimizwa kutumia elimu kiubunifu zaidi

Na LAWRENCE ONGARO WAHITIMU wa Chuo Kikuu cha Mount Kenya (MKU) wamehimizwa Ijumaa kujiamini na shahada walizopokea na kubuni ajira zao...