• Nairobi
  • Last Updated May 4th, 2024 9:55 AM

Moses Kuria aongoza wabunge wa Jubilee kuunga mkono Mawathe

Na BENSON MATHEKA WABUNGE kadhaa wa chama cha Jubilee wametangaza kuwa watamuunga mgombeaji wa chama cha Wiper Julius Mawathe kwenye...

Pendekezo la Moses Kuria kuhusu sheria za uchaguzi

Na PETER MBURU MBUNGE wa Gatundu Kusini Moses Kuria ametoa pendekezo tatanishi kuhusu namna ya kuendesha mazoezi ya uchaguzi nchini siku...

Kuria na Kimani Ngunjiri wazidi kupondwa

Na FRANCIS MUREITHI SHIRIKA moja pamoja na usimamizi wa chama cha ODM kaunti ya Nakuru vimekashifu matamshi ya wabunge Kimani Ngunjiri...

Sijajiuzulu lakini maisha yangu yako hatarini – Moses Kuria

Na CHARLES WASONGA MBUNGE wa Gatundu Kusini Moses Kuria amekanusha madai kwamba amejiuzulu wadhifa wake wa ubunge huku akidai kuwa...

Uhuru awaka lakini Moses Kuria akaa ngumu

VALENTINE OBARA, MOHAMED AHMED Na LUCAS BARASA RAIS Uhuru Kenyatta Jumatatu aliwajibu kwa ukali wanasiasa kutoka ngome yake kuu ya...

Moses Kuria sasa aomba radhi baada ya kumlaumu Uhuru

MARY WAMBUI Na BENSON MATHEKA MBUNGE wa Gatundu Kusini, Moses Kuria, Ijumaa alilazimika kumuomba msamaha Rais Uhuru Kenyatta kwa...

Waititu amtuma nduguye Moses Kuria likizo ya lazima zogo likitokota

Na Erick Wainaina SIKU moja tu baada ya Mbunge wa Gatundu Kusini Moses Kuria kusema kwamba eneo la Mlima Kenya halijafaidika sana na...

Kuwajali wakulima wa mahindi na miwa ni kukosa busara – Moses Kuria

Na PETER MBURU MBUNGE wa Gatundu Kusini ameibua ghadhabu miongoni mwa Wakenya, baada ya kutoa pendekezo tatanishi kuwa hakuna haja ya...

Jipe moyo, Moses Kuria amwambia Jacque Maribe mahakamani

Na RICHARD MUNGUTI MBUNGE wa Gatundu kusini Bw Moses Kuria alifika mahakamani Jumatano kufuatilia kesi ya mauaji inayomkabili aliyekuwa...