Tag: moses kuria
- by adminleo
- January 23rd, 2019
Moses Kuria aongoza wabunge wa Jubilee kuunga mkono Mawathe
Na BENSON MATHEKA WABUNGE kadhaa wa chama cha Jubilee wametangaza kuwa watamuunga mgombeaji wa chama cha Wiper Julius Mawathe kwenye...
- by adminleo
- January 14th, 2019
Pendekezo la Moses Kuria kuhusu sheria za uchaguzi
Na PETER MBURU MBUNGE wa Gatundu Kusini Moses Kuria ametoa pendekezo tatanishi kuhusu namna ya kuendesha mazoezi ya uchaguzi nchini siku...
- by adminleo
- January 10th, 2019
Kuria na Kimani Ngunjiri wazidi kupondwa
Na FRANCIS MUREITHI SHIRIKA moja pamoja na usimamizi wa chama cha ODM kaunti ya Nakuru vimekashifu matamshi ya wabunge Kimani Ngunjiri...
- by adminleo
- January 10th, 2019
Sijajiuzulu lakini maisha yangu yako hatarini – Moses Kuria
Na CHARLES WASONGA MBUNGE wa Gatundu Kusini Moses Kuria amekanusha madai kwamba amejiuzulu wadhifa wake wa ubunge huku akidai kuwa...
- by adminleo
- January 8th, 2019
Uhuru awaka lakini Moses Kuria akaa ngumu
VALENTINE OBARA, MOHAMED AHMED Na LUCAS BARASA RAIS Uhuru Kenyatta Jumatatu aliwajibu kwa ukali wanasiasa kutoka ngome yake kuu ya...
- by adminleo
- January 4th, 2019
Moses Kuria sasa aomba radhi baada ya kumlaumu Uhuru
MARY WAMBUI Na BENSON MATHEKA MBUNGE wa Gatundu Kusini, Moses Kuria, Ijumaa alilazimika kumuomba msamaha Rais Uhuru Kenyatta kwa...
- by adminleo
- January 3rd, 2019
Waititu amtuma nduguye Moses Kuria likizo ya lazima zogo likitokota
Na Erick Wainaina SIKU moja tu baada ya Mbunge wa Gatundu Kusini Moses Kuria kusema kwamba eneo la Mlima Kenya halijafaidika sana na...
- by adminleo
- October 31st, 2018
Kuwajali wakulima wa mahindi na miwa ni kukosa busara – Moses Kuria
Na PETER MBURU MBUNGE wa Gatundu Kusini ameibua ghadhabu miongoni mwa Wakenya, baada ya kutoa pendekezo tatanishi kuwa hakuna haja ya...
- by adminleo
- October 17th, 2018
Jipe moyo, Moses Kuria amwambia Jacque Maribe mahakamani
Na RICHARD MUNGUTI MBUNGE wa Gatundu kusini Bw Moses Kuria alifika mahakamani Jumatano kufuatilia kesi ya mauaji inayomkabili aliyekuwa...