• Nairobi
  • Last Updated May 2nd, 2024 4:42 PM

Gavana Dhadho ahimiza hatua za kiutu kusuluhisha mzozo wa mpaka

Na CHARLES WASONGA GAVANA wa Kaunti ya Tana River Dhadho Godhana amewataka viongozi wa kaunti ya Garrisa kukoma kueneza chuki na uhasama...

Mzozo wa Kenya na Tanzania waathiri biashara mpakani

Na LUCY MKANYIKA WAFANYABIASHARA katika soko la mpakani la Taveta, Kaunti ya Taita Taveta wameitaka serikali kuingilia kati mzozo wa...

Majimbo 16 yaishtaki serikali ya Trump

Na MASHIRIKA MUUNGANO wa majimbo 16 yakiongozwa na California umeshtaki serikali ya Rais Donald Trump kufuatia hatua yake ya kutangaza...

TAHARIRI: Polisi mpakani wachunguzwe

NA MHARIRI TANGU shambulizi la kigaidi litokee katika jiji la Nairobi, kumekuwa na mjadala wa kila aina kuhusu chanzo chake. Jambo...

Jaramogi ahusishwa na mzozo wa mpakani

TOM MATOKE na WYCLIFF KIPSANG MZOZO wa mpaka kati ya Kaunti za Nandi na Kisumu ulichukua mwelekeo mpya Jumatatu baada ya jina la...

Suala la mpaka wa kaunti lazua tofauti kati ya wazee

GITONGA MARETE Na ALEX NJERU MZOZO unatokota kati ya Kaunti za Meru na Tharaka-Nithi, baada ya wazee wa baraza la Njuri Ncheke eneo la...