Tag: msaada
- by adminleo
- April 11th, 2020
Wanawake 2 wafariki kwa mkanyagano wa chakula cha msaada Kibra
Na BENSON MATHEKA WANAWAKE wawili walikufa usiku wa kuamkia Jumamosi kutokana na majeraha waliyopata kwenye mkanyagano uliotokea Ijumaa...
- by adminleo
- April 9th, 2020
Serikali yatakiwa kuwapa raia pesa badala ya chakula
Na WANDERI KAMAU MAGAVANA nchini wanaitaka Serikali kuwapa Wakenya pesa kujinunulia chakula wenyewe, ili kuepuka hali ambapo misongamano...
- by adminleo
- April 8th, 2020
Joho kuwapa wakazi wa Mombasa chakula na maji
Na CHARLES WASONGA USAMBAZAJI wa chakula dawa na maji, bila malipo, kwa wakazi masikini na wenye mahitaji maalum ni baadhi ya hatua...
- by adminleo
- April 6th, 2020
Msaada kwa wakazi wa Westlands
Na GEOFFREY ANENE Kampuni ya Myspace Properties imejitosa katika kupunguzia mzigo familia zisizojiweza maarufu kama chokoraa wakati huu...
- by adminleo
- April 5th, 2020
Mashirika, viongozi waanza kutoa chakula cha msaada
Na WAANDISHI WETU SERIKALI za Kaunti, viongozi wa makanisa na mashirika mbalimbali wameanza kutoa vyakula kwa familia zisizojiweza...
- by adminleo
- April 2nd, 2020
CORONA: Kenya yasubiri Sh5 bilioni kutoka Benki ya Dunia
NA JOHN MUTUA Kenya inatarajia kupokea msaada wa Sh5.2 bilioni kutoka kwa Benki ya Dunia utakaosaidia kupambana na ugonjwa wa...
- by adminleo
- March 30th, 2020
Somalia yatoa msaada wa madaktari kuisaidia Italia kukabili corona
MASHIRIKA NA FAUSTINE NGILA SERIKALI ya taifa la Somalia Jumatatu imethibitisha kwamba imetuma madaktari 20 nchini Italia kusaidia...
- by adminleo
- December 3rd, 2019
Mbunge ashangaza kuwaambia waathiriwa wa mafuriko wasubiri msaada Alhamisi
NA CECIL ODONGO MBUNGE wa Nyando Jared Okello Jumanne aliwataka wakazi wa eneobunge la Nyando ambao wameathirika na mafuriko kuwa...
- by adminleo
- August 9th, 2019
Komeni kutegemea misaada na kuwa walafi, Amerika yaikemea Kenya
Na JUMA NAMLOLA SERIKALI ya Marekani imeikemea Kenya kwa kuendelea kutegemea misaada kutoka nje, ilhali haijachukua hatua za kutosha...
- by adminleo
- March 20th, 2019
Msaada wa Sonko kwa wanaotafunwa na njaa Turkana
Na PETER MBURU WAKATI viongozi wa serikali kuu za zingine za kaunti wakizidi kujitia hamnazo kuhusu hali ya kiangazi na njaa inayokumba...
- by adminleo
- July 19th, 2018
Kenya yaipa Japan msaada wa kilo 1,000 za majani chai
Na VALENTINE OBARA KENYA imetoa msaada wa tani moja (kilo 1,000) ya majani chai kwa waathiriwa wa mafuriko ya maeneo ya magharibi mwa...
- by adminleo
- April 22nd, 2018
Hospitali yakataa kuachilia maiti ikazikwe
Na SHABAN MAKOKHA FAMILIA moja katika eneo la Lurambi kaunti ya Kakamega inaomba msaada wa zaidi ya Sh2.3 milioni kulipia gharama za...