Tag: muguka
- by T L
- December 2nd, 2022
Wauzaji muguka washtaki kaunti
NA PHILIP MUYANGA SERIKALI ya Kaunti ya Mombasa na bunge la kaunti hiyo, zimeshtakiwa na wafanyabiashara wa muguka kwa pendekezo la...
- by T L
- October 20th, 2021
Agizo la Joho kuhusu miraa lapingwa vikali
Na WACHIRA MWANGI SERIKALI ya Kaunti ya Mombasa, italazimika kutafuta pesa kwingine baada ya Gavana Hassan Joho kuagiza kuwa magari ya...
Madiwani wataka ushuru wa muguka uongezwe ili kuokoa ndoa
Na ALEX KALAMA DIWANI wa wadi ya Garashi iliyo katika Kaunti ya Kilifi, Bw Peter Ziro amewasilisha hoja ya kutaka ushuru wa muguka...
- by adminleo
- June 29th, 2020
Visa vya akina mama kulipwa miraa mabinti wakilala na wazee vyaripotiwa Lamu
Na KALUME KAZUNGU BAADHI ya akina mama kwenye vijiji vingi vya Waboni, Kaunti ya Lamu wamelaumiwa kwa kushawishika kulipwa miraa na...
- by adminleo
- February 25th, 2020
Hoja ya kuzima uuzaji muguka yaibua maoni mseto
Na KALUME KAZUNGU WATAFUNAJI muguka Kaunti ya Lamu watalazimika kusafiri hadi nje ya eneo hilo ili kutafuta bidhaa hiyo, endapo hoja ya...
- by adminleo
- December 16th, 2019
Juhudi za kuzima ‘muguka’ zafeli
Na Farhiya Hussein KAUNTI ya Mombasa haijafanikiwa kuangamiza utafunaji Muguka, kwani biashara hiyo bado ni maaarufu eneo la...
- by adminleo
- August 7th, 2018
Vioski vya muguka vyaanza kubomolewa Mombasa
Na MOHAMED AHMED SIKU moja baada ya wawakilishi wa wadi ya Mombasa kuanzisha mikakati ya kupiga marufuku uuzaji wa muguka askari wa...
- by adminleo
- May 10th, 2018
Gunia la miraa latolewa kanisani kama sadaka
Na LEAH MAKENA MUTUATI, MERU Polo wa eneo hili alishangaza waumini wa kanisa moja kwa kupeleka gunia la miraa kanisani kama sadaka ya...
- by adminleo
- May 6th, 2018
Kaunti za Meru na Embu zapigania miraa
DAVID MUCHUI na CHARLES WANYORO SERIKALI za Kaunti za Embu na Meru zinazozania Sh2.2 bilioni zilizotolewa kuwafaa wakulima wa miraa...
- by adminleo
- April 16th, 2018
Marufuku kutafuna miraa na muguka Nyandarua
Na WAIKWA MAINA WATAFUNAJI wa miraa na muguka katika Kaunti ya Nyandarua sasa watalazimika kutafuta bidhaa hizo katika kaunti jirani...