Tag: mvua
- by adminleo
- June 2nd, 2019
Tahadhari mvua kubwa itanyesha kote nchini kwa wiki nzima
Na COLLINS OMULO IDARA ya utabiri wa hali ya anga nchini imetahadharisha kuwa kutakuwa na mvua kubwa katika maeneo mengi ya nchi kwa...
- by adminleo
- May 28th, 2019
Mvua yasababisha vifo na kuharibika kwa mali Pwani
Na MOHAMED AHMED MVUA kubwa ambayo imekuwa ikishuhudiwa katika kanda ya Pwani imesababisha maafa ya watu watatu na kuwaacha wakazi zaidi...
- by adminleo
- May 23rd, 2019
Mvua yazua maafa Pwani
Na WAANDISHI WETU MTU mmoja alifariki Alhamisi baada ya kusombwa na mafuriko katika eneo la Kadzandani, eneo la Kisauni katika Kaunti ya...
- by adminleo
- May 6th, 2019
Onyo mvua kubwa itanyesha juma hili
Na BERNARDINE MUTANU Mtabiri wa hali ya hewa ameonya kuhusiana na mvua kubwa na mafuriko ya gharika yatakayokumba baadhi ya maeneo...
- by adminleo
- April 23rd, 2019
Mvua itanyesha kote nchini, Idara sasa yasema
Na BERNARDINE MUTANU Wananchi kote nchini wanatarajia kupata mvua juma hili, kila siku kwa siku tano zijazo, kulingana na taarifa ya...
- by adminleo
- April 22nd, 2019
Ukosefu wa mvua kulemaza ukuaji wa uchumi
Na BERNARDINE MUTANU Ukuaji wa uchumi nchini Kenya utatatizika kutokana na upungufu wa mvua nchini. Ripoti hii ni kwa mujibu wa...
- by adminleo
- April 15th, 2019
Idara lawamani baada ya mbegu kukosa kuota
NA RICHARD MAOSI WAKULIMA kutoka Bonde la Ufa wanalaumu Idara ya Utabiri wa Hali ya Hewa kwa kuwapotosha, ilipotangaza kuwa mvua kubwa...
- by adminleo
- March 24th, 2019
Mvua sasa kuchelewa kufuatia kimbunga Idai
STEPHEN ODUOR Na BErNARDINE MUTANU Idara ya Utabiri wa Hali ya Hewa imeonya kuwa mvua iliyotarajiwa kuanza mwezi huu itachelewa...
- by adminleo
- September 26th, 2018
Idara yatabiri kutakuwa na mvua kubwa Pwani hadi Ijumaa
Na VALENTINE OBARA MVUA kubwa imetabiriwa kunyesha kuanzia Jumatano hadi Ijumaa katika maeneo ya Pwani. Idara ya Utabiri wa Hali ya...
- by adminleo
- August 7th, 2018
Mganga asakwa kwa dai la ‘kufunga’ mvua
Na DENNIS SINYO Mlima Elgon, Bungoma MGANGA mmoja aliyekuwa akihudumu eneo hili alilazimika kujificha kwenye mapango baada ya...
- by adminleo
- June 21st, 2018
Kutanyesha tena, yasema idara
Na BERNARDINE MUTANU Mvua inatarajiwa kurejea maeneo kadhaa nchini kwa mujibu wa idara ya hali ya hewa nchini. Jumatano, idara hiyo...
- by adminleo
- June 5th, 2018
Mvua kubwa yaja, Idara ya Utabiri yaonya
Na LEONARD ONYANGO MVUA kubwa inatarajiwa kunyesha katika maeneo mbalimbali ya nchi, haswa kanda za Bonde la Ufa, Kaskazini na Kati,...