• Nairobi
  • Last Updated May 3rd, 2024 11:33 PM

Kesi ya Mwilu yavutia wanahabari kutoka kona zote za dunia

Na RICHARD MUNGUTI WANAHABARI wa humu nchini na kimataifa walifurika mahakama ya Milimani Nairobi Jumatano kufuata kesi aliyoshtakiwa...

Ajabu ya mteja kuwa na mawakili 32

Na RICHARD MUNGUTI NAIBU wa Jaji Mkuu DCJ Philomena Mwilu anatetewa na mawakili 32 katika kesi inayomkabili ya ufisadi. Akiwataja mmoja...

Utata wa kesi dhidi ya Jaji Mwilu

Na RICHARD MUNGUTI UTATA ulikumba kusitishwa kwa kesi ya ufisadi dhidi ya Naibu wa Jaji Mkuu (DCJ) Philomena Mwilu na Mahakama Kuu huku...

Mtindo wa kutimua manaibu jaji mkuu wanawake wakejeliwa

Na RICHARD MUNGUTI KUNA njama za kuwadhulumu na kuwatimua kazini majaji wanawake wanaoteuliwa kuwa Naibu wa Jaji Mkuu (CJ), mahakama...

Ni sharti mahakamma ilinde haki za Jaji Mwilu – Kalonzo

Na RICHARD MUNGUTI ALIYEKUWA makamu wa rais Kalonzo Musyoka Jumatano alimsihi hakimu mkuu Lawrence Mugambi asitishe kusikizwa kwa kesi...

Sababu ya kesi dhidi ya Jaji Mwilu kusitishwa

RICHARD MUNGUTI na PETER MBURU MAHAKAMA Kuu Jumatano imesitisha kusikizwa kwa kesi dhidi ya Naibu Jaji Mkuu (DCJ) Bi Philomena Mwilu...

Kesi ya Mwilu yaibua kero la uchaguzi 2017

Na PETER MBURU KUFIKA kortini kwa naibu wa Jaji Mkuu Philomena Mwilu na mawakili tajika zaidiĀ  kumtetea baada yake kukamatwa jana...

Kesi dhidi ya Jaji Mwilu yasitishwa

Na PETER MBURU MAHAKAMA Kuu Jumatano imesitisha kesi dhidi ya Naibu Jaji Mkuu Philomena Mwilu na wakili Stanely Kiima ambapo...

Mimi ni kigugumizi, Jaji Mwilu afichua kuhusu maisha yake

Na WACHIRA MWANGI na PETER MWANGANGI NAIBU Jaji Mkuu Philomena Mwilu amezungumzia maisha yake ya kibinafsi na kukiri kuwa yeye ni...

Tulitishwa kwa kufuta ushindi wa Rais Kenyatta, Jaji Mwilu afichua

Na CHARLES WASONGA HATIMAYE Jaji mmoja wa Mahakama ya Juu ameungama kuwa walipokea vitisho baada ya kubatilisha ushindi wa Rais Uhuru...