• Nairobi
  • Last Updated May 17th, 2024 12:48 PM

Wakenya wamtafuna Ruto kudai hakuna mtu ameangamia kwa njaa nchini

Na PETER MBURU WAKENYA kwenye mitandao ya kijamii wamemshambulia Naibu Rais William Ruto kufuatia matamshi yake mara mbili sasa kuwa...

NJAA: Chifu matatani kwa kufichua vifo

FLORAH KOECH, PETER MBURU Na FAITH NYAMAI CHIFU mmoja katika Kaunti ya Baringo amejipata matatani kwa kuwafichulia wanahabari kuwa...

NJAA: Mito na maziwa yakauka Baringo na Nakuru miti ikinyauka

RICHARD MAOSI NA KEVIN KEMBOI MAELFU ya watu wanahofia maisha yao baada ya chemchemi za maji na mito kukauka katika Kaunti ya Nakuru na...

Kero baa la njaa kuwafaidi wanasiasa

Na WANDERI KAMAU SERIKALI Jumatatu ilitoa Sh2 bilioni za kuwalisha Wakenya wanaokabiliwa na njaa maeneo mbalimbali ya nchi. Kiasi...

BAA LA NJAA: Watumiaji mitandao ya kijamii waelekeza huko kero zao

Na SAMMY WAWERU KAUNTI 13 ndizo zimeripotiwa kuathirika zaidi na baa la njaa linalotokana na ukame unaoendelea kushuhudiwa nchini...

Serikali yatoa Sh2b kukabili njaa, Sh4b bado zahitajika

Na CHARLES LWANGA WIZARA ya Ugatuzi na Maeneo Kame sasa inataka Sh4 bilioni za kusaidia kupambana na janga la njaa na ukame linaloathiri...

Msiuze chakula, chifu awashauri wakulima

Na SAMMY KIMATU WAKULIMA katika kijiji cha Nduu katika lokesheni ya Mutituni, Kaunti ya Machakos wameambiwa wasiuze chakula chao baada...

TAHARIRI: Kinaya Wakenya kufa mabilioni yakiporwa

NA MHARIRI Inasikitisha kwamba kwa mara nyingine, Wakenya wameripotiwa kufa njaa huku kashfa za mabilioni ya pesa zikiripotiwa kila...

WASONGA: Tujikakamue kama nchi kumaliza aibu ya raia kufa njaa

Na CHARLES WASONGA SERIKALI inacheza sarakasi na suala tata la baa la njaa ambalo ni fedheha kubwa kwa taifa hili. Inasikitika kuwa...

Mijadala ya ufisadi yafunika njaa inayotafuna maelfu ya wananchi

WAANDISHI WETU HUKU wanasiasa wakiendelea kurushiana cheche katika mikutano ya mazishi na harambee kuhusu wizi wa mabilioni, Wakenya...

Wizara yasaka Sh6 bilioni kukabili njaa

Na IBRAHIM ORUKO WIZARA ya Ugatuzi inaomba Wizara ya Fedha Sh6 bilioni ambazo itatumia kukabili baa la njaa linalotarajiwa kukumba kaunti...

Turkana, Baringo na Pokot zalia njaa

Na BARNABAS BII MAELFU ya familia zinazokumbwa na baa la njaa katika sehemu za Kaskazini mwa Bonde la Ufa zinahitaji usaidizi wa dharura...