Tag: njaa
- by adminleo
- March 20th, 2019
Wakenya wamtafuna Ruto kudai hakuna mtu ameangamia kwa njaa nchini
Na PETER MBURU WAKENYA kwenye mitandao ya kijamii wamemshambulia Naibu Rais William Ruto kufuatia matamshi yake mara mbili sasa kuwa...
- by adminleo
- March 20th, 2019
NJAA: Chifu matatani kwa kufichua vifo
FLORAH KOECH, PETER MBURU Na FAITH NYAMAI CHIFU mmoja katika Kaunti ya Baringo amejipata matatani kwa kuwafichulia wanahabari kuwa...
- by adminleo
- March 19th, 2019
NJAA: Mito na maziwa yakauka Baringo na Nakuru miti ikinyauka
RICHARD MAOSI NA KEVIN KEMBOI MAELFU ya watu wanahofia maisha yao baada ya chemchemi za maji na mito kukauka katika Kaunti ya Nakuru na...
- by adminleo
- March 19th, 2019
Kero baa la njaa kuwafaidi wanasiasa
Na WANDERI KAMAU SERIKALI Jumatatu ilitoa Sh2 bilioni za kuwalisha Wakenya wanaokabiliwa na njaa maeneo mbalimbali ya nchi. Kiasi...
- by adminleo
- March 19th, 2019
BAA LA NJAA: Watumiaji mitandao ya kijamii waelekeza huko kero zao
Na SAMMY WAWERU KAUNTI 13 ndizo zimeripotiwa kuathirika zaidi na baa la njaa linalotokana na ukame unaoendelea kushuhudiwa nchini...
- by adminleo
- March 18th, 2019
Serikali yatoa Sh2b kukabili njaa, Sh4b bado zahitajika
Na CHARLES LWANGA WIZARA ya Ugatuzi na Maeneo Kame sasa inataka Sh4 bilioni za kusaidia kupambana na janga la njaa na ukame linaloathiri...
- by adminleo
- March 18th, 2019
Msiuze chakula, chifu awashauri wakulima
Na SAMMY KIMATU WAKULIMA katika kijiji cha Nduu katika lokesheni ya Mutituni, Kaunti ya Machakos wameambiwa wasiuze chakula chao baada...
- by adminleo
- March 17th, 2019
TAHARIRI: Kinaya Wakenya kufa mabilioni yakiporwa
NA MHARIRI Inasikitisha kwamba kwa mara nyingine, Wakenya wameripotiwa kufa njaa huku kashfa za mabilioni ya pesa zikiripotiwa kila...
- by adminleo
- March 17th, 2019
WASONGA: Tujikakamue kama nchi kumaliza aibu ya raia kufa njaa
Na CHARLES WASONGA SERIKALI inacheza sarakasi na suala tata la baa la njaa ambalo ni fedheha kubwa kwa taifa hili. Inasikitika kuwa...
- by adminleo
- March 17th, 2019
Mijadala ya ufisadi yafunika njaa inayotafuna maelfu ya wananchi
WAANDISHI WETU HUKU wanasiasa wakiendelea kurushiana cheche katika mikutano ya mazishi na harambee kuhusu wizi wa mabilioni, Wakenya...
- by adminleo
- March 16th, 2019
Wizara yasaka Sh6 bilioni kukabili njaa
Na IBRAHIM ORUKO WIZARA ya Ugatuzi inaomba Wizara ya Fedha Sh6 bilioni ambazo itatumia kukabili baa la njaa linalotarajiwa kukumba kaunti...
- by adminleo
- March 14th, 2019
Turkana, Baringo na Pokot zalia njaa
Na BARNABAS BII MAELFU ya familia zinazokumbwa na baa la njaa katika sehemu za Kaskazini mwa Bonde la Ufa zinahitaji usaidizi wa dharura...