Tag: njaa
- by adminleo
- April 17th, 2019
Magavana wataja njaa kuwa janga la kitaifa
Na CHARLES WASONGA MAGAVANA wametofautiana na serikali ya kitaifa kuhusu idadi ya waathiriwa wa baa la njaa huku wakisema kuwa watu...
- by adminleo
- April 16th, 2019
TAHARIRI: Hifadhi ya chakula ingetusaidia sana
NA MHARIRI Kutokana na tangazo la Idara ya Utabiri wa Hali ya Hewa nchini kuwa hakutakuwa na mvua yoyote msimu huu, wengi waliotarajia...
- by adminleo
- April 11th, 2019
Wamalwa asema hali ya ukame sio mbaya nchini
Na CHARLES WASONGA WAZIRI wa Ugatuzi Eugene Wamalwa amepuuzilia mbali madai kuwa hali ya kiangazi nchini ni mbaya sana. Akiongea...
- by adminleo
- April 8th, 2019
Pombe kwa wenye njaa yazua ghadhabu
NA ERIC MATARA VIONGOZI wa kisiasa, watetezi wa haki za binadamu na maafisa wa afya sasa wanataka vyakula vya misaada vinavyotolewa kwa...
- by adminleo
- April 4th, 2019
Rais apuuza njaa na kupanda kwa gharama ya maisha
Na CHARLES WASONGA RAIS Uhuru Kenyatta Alhamisi alikwepa kuzungumzia suala la njaa nchini pamoja na kupanda kwa gharama ya maisha,...
- by adminleo
- March 24th, 2019
TAHARIRI: Mabilioni ya kazi gani kama watu wafa njaa?
NA MHARIRI Habari zilizoshamiri wiki hii inayokamilika ni suala la njaa na haswa ripoti za vifo vilivyotokana na baa la njaa...
- by adminleo
- March 23rd, 2019
Njaa: Wabunge wa ODM wamsuta Ruto
Na CHARLES WASONGA WABUNGE wa upinzani wameitaka serikali ya kitaifa kuanzisha mikakati ya kudumu ya kukabiliana na ukame nchini huku...
- by adminleo
- March 22nd, 2019
Njaa: Kero za wafuatiliaji habari mitandaoni
Na PETER MBURU WAKENYA wana ghadhabu. Hii ni baada ya vuta nikuvute kati yao na viongozi wa serikali kuhusu baa la njaa linaloendelea...
- by adminleo
- March 22nd, 2019
Njaa: Red Cross yaomba msaada wa Wakenya
Na BERNARDINE MUTANU Shirika la Msalaba Mwekundu linaomba wananchi kulisaidia ili kuwalisha na kuwanywesha wakazi wa Turkana na maeneo...
- by adminleo
- March 21st, 2019
Serikali yakana njaa imeua Wakenya, madaktari wataka uchunguzi ufanywe
MOHAMED AHMED Na AGGREY OMBOKI SERIKALI ikiongozwa na Naibu Rais William Ruto, imesisitiza hakuna Mkenya yeyote aliyepoteza maisha kwa...
- by adminleo
- March 20th, 2019
Msaada wa Sonko kwa wanaotafunwa na njaa Turkana
Na PETER MBURU WAKATI viongozi wa serikali kuu za zingine za kaunti wakizidi kujitia hamnazo kuhusu hali ya kiangazi na njaa inayokumba...
- by adminleo
- March 20th, 2019
Kaunti za Pwani zaanza kukabiliana na baa la njaa
Na SAMUEL BAYA BAADHI ya kaunti za Pwani sasa zimeanza kujiandaa vilivyo kukabiliana na baa la njaa na kiangazi. Tayari serikali ya...