Tag: nyongwa
- by adminleo
- July 31st, 2018
JARIBIO LA MAPINDUZI 1982: Waliopanga njama walivyonyongwa
Na WANDERI KAMAU JUMATANO, Agosti 1, 2018, Kenya itaadhimisha miaka 36 tangu kutokea kwa jaribio la mapinduzi ya kijeshi mnamo...
- by adminleo
- July 30th, 2018
Misri kunyonga watu 75 waliohusika kwa machafuko 2013
Na MASHIRIKA Mahakama ya Misri mnamo Jumamosi iliwahukumu watu 75 kunyongwa, wakiwemo viongozi wa kundi la Muslim Brotherhood. Hukumu...
- by adminleo
- July 19th, 2018
Malkia aliyedunga mchumba kisu mara 25 kunyongwa
Na RICHARD MUNGUTI MALKIA wa urembo katika Gereza la Lang'ata jijini Nairobi mnamo 2016, Ruth Kamande, Alhamisi alihukumiwa kunyongwa...
- by adminleo
- May 31st, 2018
Kijana wa miaka 21 kunyongwa kwa kuiba Sh200
Na BENSON MATHEKA MWANAMUME mwenye umri wa miaka 21, Jumatano alihukumiwa kunyongwa kwa kutumia nguvu kumnyang’anya mwanamke kibeti...
- by adminleo
- April 11th, 2018
Watu 36 kunyongwa kwa kuvamia makanisa ya Coptic
Na MASHIRIKA CAIRO, MISRI MAHAKAMA ya jeshi imewahukumu watu 36 kunyongwa kwa kuhusika katika mashambulizji dhidi ya makanisa ya Kikristo...