Tag: pata ushauri wa dkt flo
- by adminleo
- February 4th, 2020
PATA USHAURI WA DKT FLO: Jicho la kulia latetema
Na DKT FLO Mpendwa Daktari, KWA wiki kadhaa sasa, jicho langu la kulia limekuwa likitetema. Je, kuna maelezo ya kimatibabu kuhusu...
- by adminleo
- January 21st, 2020
PATA USHAURI WA DKT FLO: Nahisi uchungu mwingi baada ya kung’oa jino
Na DKT FLO Mpendwa Daktari, MIMI ni mwanamke mwenye umri wa miaka 33. Wiki kadhaa zilizopita niliong’olewa jino langu la nyuma...
- by adminleo
- December 12th, 2019
DKT FLO: Mbona napata UTI kila nikigawia mume asali?
Mpendwa Daktari, Mume wangu anafanya kazi katika mji mwingine na sisi hukutana baada ya miezi miwili na mitatu. Tatizo ni kwamba...
- by adminleo
- December 3rd, 2019
PATA USHAURI WA DKT FLO: Uvimbe ulitibiwa lakini umerudi tena
Na DKT FLO Mpendwa Daktari, Babangu ana uvimbe mgongoni mwake. Ulichipuka miaka michache iliyopita ambapo ulikuwa mkubwa kiasi cha...
- by adminleo
- November 26th, 2019
PATA USHAURI WA DKT FLO: Unene kwa wanaume unaathiri burudani?
Na DKT FLO Mpendwa Daktari, Ni kweli kwamba kama mwanamume, unene unaathiri uwezo wako kitandani? Kevin, Mombasa Mpendwa...
- by adminleo
- November 19th, 2019
PATA USHAURI WA DKT FLO: Nimeona upele kifuani ingawa hauna maumivu
Na DKT FLO KWA miezi kadha sasa nimekuwa nikikumbwa na upele usio na maumivu kifuani mwangu. Nini kinaweza kuwa kinasababisha shida...
- by adminleo
- November 12th, 2019
PATA USHAURI WA DKT FLO: Tafadhali fafanua ‘siku salama’ katika masuala ya hedhi
Na DKT FLO NILISOMA mawaidha yako kuhusu iwapo mwanamke anaweza kushika mimba iwapo atashiriki tendo la ndoa siku ya mwisho ya...
- by adminleo
- October 22nd, 2019
PATA USHAURI WA DKT FLO: UTI husambazwa kupitia ngono?
Na DKT FLO MKE wangu amekuwa akikumbwa na maambukizi katika mfumo wa njia ya mkojo (Urinary Tract Infection - UTI) kila mara, na cha...
- by adminleo
- September 24th, 2019
PATA USHAURI WA DKT FLO: ‘Pap Smear’ yatakiwa ifanywe mara ngapi?
Na DKT FLO Mpendwa Daktari, Nimekuwa nikitamani kufanyiwa uchunguzi wa ‘Pap Smear’, lakini kutokana na sababu kwamba sina ajira,...
- by adminleo
- September 17th, 2019
PATA USHAURI WA DKT FLO: Maumivu kooni yanitia wasiwasi
Na DKT FLO Mpendwa Daktari, Nimekuwa nikikumbwa na maumivu ya koo kwa miezi miwili sasa. Licha ya kwamba nimekuwa nikipokea matibabu,...