Tag: psg
UEFA yatoza PSG faini ya Sh3.7 milioni kwa kujikokota kurudi uwanjani kipindi cha pili mechi dhidi ya Atalanta
Na CHRIS ADUNGO MIAMBA wa soka ya Ufaransa, Paris Saint-Germain (PSG) wametozwa faini ya Sh3.7 milioni kwa hatia ya kutorejea uwanjani...
- by adminleo
- June 12th, 2020
Thiago Silva awaniwa na klabu tano za EPL
Na MASHIRIKA THIAGO Silva amesema atahiari kusalia katika mojawapo ya klabu za bara Ulaya kwa misimu miwili zaidi baada ya waajiri wake...
- by adminleo
- May 31st, 2020
Icardi apokezwa mkataba wa kudumu kambini mwa PSG
Na CHRIS ADUNGO MIAMBA wa soka ya Ufaransa, Paris Saint-Germain (PSG) wamemsajili mshambuliaji matata wa Inter Milan na timu ya taifa ya...
- by adminleo
- May 1st, 2020
PSG watawazwa mabingwa wa ligi kuu ya Ufaransa
Na CHRIS ADUNGO PARIS Saint-Germain (PSG) wametawazwa mabingwa wa Ligi Kuu ya Ufaransa (Ligue 1) siku chache baada ya serikali ya taifa...
- by adminleo
- September 18th, 2019
MAUANO: Patashika nguo kuchanika PSG na Real Madrid zikipapurana
Na MASHIRIKA PARIS, Ufaransa MECHI iliyosubiriwa kwa hamu kubwa kati ya Paris Saint-Germain (PSG) ya Ufaransa na Real Madrid...
- by adminleo
- September 18th, 2019
Mwenye nguvu nipishe Juve na Atletico wakivaana UEFA
Na MASHIRIKA MADRID, Uhispania UWANJA maarufu wa Wanda Metroplitano jijini hapa unatazamiwa leo Jumatano kujaa hadi pomoni wakati...
- by adminleo
- August 23rd, 2019
BILA KITITA HATOKI NG’O! Neymar atamani sana kuondoka PSG
Na MASHIRIKA PARIS, UFARANSA PARIS Saint-Germain (PSG) imekataa ofa ya kwanza rasmi kutoka kwa Barcelona kwa mchezaji nyota wa...
- by adminleo
- June 18th, 2019
MNADANI: PSG wako tayari kumtupa Neymar sokoni
Na MASHIRIKA PARIS, UFARANSA PARIS Saint-Germain (PSG) wamefichua azma ya kumpiga mnada nyota Neymar Jr iwapo watampata mnunuzi aliye...
- by adminleo
- March 6th, 2019
NI KIVUMBI: Manchester United pembamba wakizuru PSG kwa marudiano ya UEFA
Na MASHIRIKA PARIS, UFARANSA LICHA ya kichapo cha 2-0 ambacho Manchester United walipokea kutoka kwa PSG katika mkondo wa kwanza ugani...
- by adminleo
- February 14th, 2019
Tuchel awashangaa mashabiki wa Man U kumzomea Di Maria baada ya kichapo
NA CECIL ODONGO MKUFUNZI wa Paris Saint Germain Thomas Tuchel amekiri kushangazwa kwake na kisa cha kuzomewa kwa winga wa timu hiyo...
- by adminleo
- September 17th, 2018
UEFA: Salah, Mane na Firmino vs Neymar, Mbappe na Cavani
Na CECIL ODONGO MECHI za kuwania klabu bingwa barani Uropa msimu wa 2018/19 hatimaye zinarejea kuanzia Jumanne ya Agosti 17 na Jumatano ya...