Tag: Rais Uhuru Kenyatta
- by T L
- January 13th, 2022
Rais Kenyatta atoa wito kwa viongozi kushirikiana kwa manufaa ya Wakenya
PSCU na CHARLES WASONGA RAIS Uhuru Kenyatta amewataka wanasiasa kushirikiana kwa lengo la kuimarisha maisha ya Wakenya wakati huu ambapo...
- by T L
- December 13th, 2021
Uhuru aonyesha Raila Ikulu
CHARLES WASONGA na BENSON MATHEKA RAIS Uhuru Kenyatta, jana Jumapili alionyesha wazi kwamba anamuunga kiongozi wa ODM Raila Odinga kuwa...
- by T L
- November 20th, 2021
Afueni kwa wakimbizi
Na CHARLES WASONGA WAKIMBIZI sasa wamepata afueni baada ya Rais Uhuru Kenyatta kutia saini mswada unaowapa uhuru wa kuendelea kuishi...
- by T L
- November 2nd, 2021
Majaji: Uhuru ashinda raundi ya kwanza
Na RICHARD MUNGUTI RAIS Uhuru Kenyatta ameshinda raundi ya kwanza kwenye mzozo kuhusu uteuzi wa majaji sita, baada ya Mahakama ya Rufaa...
MKF yawataka wanasiasa kuheshimu Rais Kenyatta wanaposaka kura
Na SAMMY WAWERU WAKFU wa wafanyabiashara kutoka Mlima Kenya unaofahamika kama Mount Kenya Foundation (MKF) umewataka wanasiasa...
Wapuuza Uhuru
VITALIS KIMUTAI na BENSON MATHEKA WANASIASA wamedhihirisha kuwa kamwe hawako tayari kutii amri ya Rais Uhuru Kenyatta aliyepiga marufuku...
Wakazi wataka Rais aepuke siasa za urithi
Na KNA WAKAZI wa Nyeri, sasa wanamtaka Rais Uhuru Kenyatta kujishughulisha na jinsi Wakenya watakavyomkumbuka baada ya kustaafu badala...
Kauli za Uhuru zatishia Raila
Na BENSON MATHEKA KAULI za Rais Uhuru Kenyatta kwa wafuasi wake eneo la Mlima Kenya kwenye chaguzi za 2013 na 2017, zinatishia juhudi...
Watu wa Rais waingia baridi
JUSTUS WANGA na BENSON MATHEKA BAADA ya kushindwa kwenye uchaguzi mdogo wa kiti cha eneobunge la Kiambaa, washirika wa Rais Uhuru...
Kiini cha Uhuru kuteleza nyumbani
Na BENSON MATHEKA KUSHINDWA kwa chama cha Jubilee katika uchaguzi mdogo wa eneobunge la Juja, Kaunti ya Kiambu na Wadi ya Rurii iliyo...
2022: Uhuru kujipanga upya
JUSTUS OCHIENG na RICHARD MUNGUTI RAIS Uhuru Kenyatta anakabiliwa na wakati mgumu kusukuma mikakati yake ya urithi atakapostaafu 2022,...
Rais apanga kuunda miungano ya amani
Na JUSTUS OCHIENG RAIS Uhuru Kenyatta anapania kuunda miungano ya kisiasa itakayoleta umoja nchini kuelekea katika uchaguzi mkuu wa...