• Nairobi
  • Last Updated May 4th, 2024 7:12 PM

Jepkosgei amezea kuvunja rekodi ya mbio za marathon

Na CHRIS ADUNGO MWANARIADHA Joyciline Jepkosgei amefichua azma ya kuvunja rekodi ya dunia katika mbio za kilomita 42 baada ya kuibuka...

Wakenya 5 kuwania mataji ya kimataifa katika riadha

Na CHRIS ADUNGO WAKENYA wanapigiwa upatu wa kutamalaki tuzo za Wanariadha Bora wa Mwaka duniani katika hafla itakayoandaliwa na...

MASHUJAA: Timu ya Kenya yapewa mapokezi ya aina yake

Na GEOFFREY ANENE TIMU ya Kenya ilipokelewa kwa shangwe na nderemo kutoka nchini Qatar mnamo Jumatatu alasiri baada ya kumaliza ya pili...

Chepng’etich ange kuhifadhi ubingwa wa mbio za mita 1,500 duniani

Na CHRIS ADUNGO FAITH Chepng’etich Kipyegon na Winny Chebet wataelekezewa macho ya karibu hii leo Jumamosi watakaposhuka ulingoni kwa...

Wakenya kutisha Dunia riadha za Qatar, AK yasema

Na CHRIS ADUNGO KIKOSI cha watimkaji wa marathon watakaopeperusha bendera ya Kenya katika Riadha za Dunia mwaka huu nchini Qatar...

Rudisha nje Kenya ikichagua kikosi cha Riadha za Dunia 2019

Na GEOFFREY ANENE KENYA ni nchi ya hivi punde baada ya mahasimu wa tangu jadi Ethiopia, Australia na Jamaica kuchagua timu...

Riadha: Kikosi cha taifa kuanza kujiandalia Doha

Na CHRIS ADUNGO TIMU itakayowakilisha Kenya katika Riadha za Dunia jijini Doha, Qatar kati ya Septemba 27 na Oktoba 6, 2019, inatarajiwa...

Mabingwa 16 wa kwanza wa Riadha za Diamond League kujulikana leo Alhamisi

Na GEOFFREY ANENE KIVUMBI kinatarajiwa kwenye fainali ya kwanza ya Riadha za Diamond League ikifanyika mjini Zurich nchini Uswizi leo...

Pigo jingine kwa riadha ya Kenya mkimbiaji Kirwa akipatikana na hatia ya kujisisimua kwa kutumia dawa ya panya

Na GEOFFREY ANENE BINGWA wa mbio za kilomita 42 za Singapore mwaka 2016, Felix Kirwa ni mwanariadha wa hivi punde kutoka Kenya kupigwa...

Njenga na Njeri mabingwa wa mbio za Kiambu

Na JOHN KIMWERE MICHAEL Njenga na Lydia Njeri walitawazwa mabingwa wapya katika riadha za kilomita kumi za Henry Wanyoike Hope for the...

Kenya yang’aa mbio za mita 3,000 Shanghai Diamond League

Na GEOFFREY ANENE BEATRICE Chepkoech na Celliphine Chespol wamefagia nafasi mbili za kwanza za mbio za mita 3,000 kuruka viunzi na maji za...

Matumaini tele kikosi cha riadha kitanogesha Japan

Na CHRIS ADUNGO NAHODHA wa kikosi cha Kenya, Aaron Koech ni mwingi wa matumaini kwamba wataendeleza ubabe walioudhihirisha katika Riadha...