Tag: Riadha
- by adminleo
- November 5th, 2019
Jepkosgei amezea kuvunja rekodi ya mbio za marathon
Na CHRIS ADUNGO MWANARIADHA Joyciline Jepkosgei amefichua azma ya kuvunja rekodi ya dunia katika mbio za kilomita 42 baada ya kuibuka...
- by adminleo
- October 17th, 2019
Wakenya 5 kuwania mataji ya kimataifa katika riadha
Na CHRIS ADUNGO WAKENYA wanapigiwa upatu wa kutamalaki tuzo za Wanariadha Bora wa Mwaka duniani katika hafla itakayoandaliwa na...
- by adminleo
- October 8th, 2019
MASHUJAA: Timu ya Kenya yapewa mapokezi ya aina yake
Na GEOFFREY ANENE TIMU ya Kenya ilipokelewa kwa shangwe na nderemo kutoka nchini Qatar mnamo Jumatatu alasiri baada ya kumaliza ya pili...
- by adminleo
- October 5th, 2019
Chepng’etich ange kuhifadhi ubingwa wa mbio za mita 1,500 duniani
Na CHRIS ADUNGO FAITH Chepng’etich Kipyegon na Winny Chebet wataelekezewa macho ya karibu hii leo Jumamosi watakaposhuka ulingoni kwa...
- by adminleo
- September 18th, 2019
Wakenya kutisha Dunia riadha za Qatar, AK yasema
Na CHRIS ADUNGO KIKOSI cha watimkaji wa marathon watakaopeperusha bendera ya Kenya katika Riadha za Dunia mwaka huu nchini Qatar...
- by adminleo
- September 13th, 2019
Rudisha nje Kenya ikichagua kikosi cha Riadha za Dunia 2019
Na GEOFFREY ANENE KENYA ni nchi ya hivi punde baada ya mahasimu wa tangu jadi Ethiopia, Australia na Jamaica kuchagua timu...
- by adminleo
- September 11th, 2019
Riadha: Kikosi cha taifa kuanza kujiandalia Doha
Na CHRIS ADUNGO TIMU itakayowakilisha Kenya katika Riadha za Dunia jijini Doha, Qatar kati ya Septemba 27 na Oktoba 6, 2019, inatarajiwa...
- by adminleo
- August 29th, 2019
Mabingwa 16 wa kwanza wa Riadha za Diamond League kujulikana leo Alhamisi
Na GEOFFREY ANENE KIVUMBI kinatarajiwa kwenye fainali ya kwanza ya Riadha za Diamond League ikifanyika mjini Zurich nchini Uswizi leo...
- by adminleo
- June 13th, 2019
Pigo jingine kwa riadha ya Kenya mkimbiaji Kirwa akipatikana na hatia ya kujisisimua kwa kutumia dawa ya panya
Na GEOFFREY ANENE BINGWA wa mbio za kilomita 42 za Singapore mwaka 2016, Felix Kirwa ni mwanariadha wa hivi punde kutoka Kenya kupigwa...
- by adminleo
- June 9th, 2019
Njenga na Njeri mabingwa wa mbio za Kiambu
Na JOHN KIMWERE MICHAEL Njenga na Lydia Njeri walitawazwa mabingwa wapya katika riadha za kilomita kumi za Henry Wanyoike Hope for the...
- by adminleo
- May 18th, 2019
Kenya yang’aa mbio za mita 3,000 Shanghai Diamond League
Na GEOFFREY ANENE BEATRICE Chepkoech na Celliphine Chespol wamefagia nafasi mbili za kwanza za mbio za mita 3,000 kuruka viunzi na maji za...
- by adminleo
- May 9th, 2019
Matumaini tele kikosi cha riadha kitanogesha Japan
Na CHRIS ADUNGO NAHODHA wa kikosi cha Kenya, Aaron Koech ni mwingi wa matumaini kwamba wataendeleza ubabe walioudhihirisha katika Riadha...