• Nairobi
  • Last Updated May 17th, 2024 7:50 AM

Inter Milan yaanza kunusia taji la Serie A

Na MASHIRIKA MSHAMBULIAJI matata wa inter Milan, Romelu Lukaku, alifunga bao la pekee katika ushindi muhimu wa ugenini dhidi ya Bologna,...

Lukaku avunia Ubelgiji alama moja dhidi ya Jamhuri ya Czech

Na MASHIRIKA FOWADI Romelu Lukaku aliwaongoza Ubelgiji kuokota alama moja muhimu dhidi ya Jamhuri ya Czech katika mechi ya kufuzu kwa...

De Bruyne na Lukaku waongoza Ubelgiji kupepeta Wales katika gozi la kufuzu kwa Kombe la Dunia 2022

Na MASHIRIKA WANASOKA Kevin De Bruyne, Thorgan Hazard na Romelu Lukaku walisaidia Ubelgiji kutoka nyuma na kuzamisha chombo cha Wales...

Lukaku kuongoza mashambulizi ya Ubelgiji dhidi ya Wales

Na MASHIRIKA FOWADI Romelu Lukaku ameungana sasa na wanasoka wenzake katika timu ya taifa ya Ubelgiji baada ya vipimo vya afya...

Lukaku sasa andazi moto linalowaniwa na PSG na Manchester City

Na MASHIRIKA PARIS Saint-Germain wamejitosa katika vita vya kuwania huduma za mshambuliaji matata wa Inter Milan na timu ya taifa ya...

Ibrahimovic na Lukaku wapigwa marufuku ya mechi moja kila mmoja kwa utovu wa nidhamu

Na MASHIRIKA MAFOWADI Zlatan Ibrahimovic na Romelu Lukaku wamepigwa marufuku ya mechi moja kila mmoja baada ya kudhihirisha utovu wa...

Sampdoria wapiga Inter Milan breki kali katika Ligi Kuu ya Italia

Na MASHIRIKA ALEXIS Sanchez alipoteza penalti katika mechi ya Ligi Kuu ya Italia (Serie A) iliyoshuhudia Sampdoria wakiwanyuka 2-1 mnamo...

Lukaku afunga na kusaidia Inter kuangusha Bologna ligini

Na MASHIRIKA ROMELU Lukaku aliendeleza ubabe wake wa kufunga mabao msimu huu baada ya kucheka na nyavu za Bologna mara moja na kuongoza...

Lukaku afunga mawili na kuweka hai matumaini ya Inter Milan kufuzu kwa hatua ya 16-bora UEFA

Na MASHIRIKA ROMELU Lukaku alifunga mabao mawili na kusaidia Inter Milan kuweka hai matumaini ya kufuzu kwa hatua ya 16-bora ya Klabu...

Lukaku na Sanchez wasaidia Inter Milan kutoka nyuma na kupepeta Torino kwenye Serie A

Na MASHIRIKA ALEXIS Sanchez na Romelu Lukaku walicheka na nyavu za wapinzani katika dakika 26 za mwisho wa kipindi cha pili na kusaidia...