• Nairobi
  • Last Updated May 12th, 2024 5:17 PM

Msikubali kutumiwa kutekeleza udhalimu, Ruto awarai polisi

Na CHARLES WASONGA NAIBU Rais William Ruto amewataka maafisa wa polisi kuendesha wajibu wao kitaalamu na wasikubali kutumika kuendeleza...

Kambi ya Ruto yainua mikono

Na ONYANGO K’ONYANGO   WASHIRIKA wa kisiasa wa Naibu Rais William Ruto ambao wamekuwa wakipinga kura ya maamuzi kuandaliwa...

Ngome ya Ruto yapasuka vipande vitatu

Na ONYANGO K'ONYANGO VUGUVUGU jipya la kisiasa lanukia katika ngome ya kisiasa ya Naibu Rais William Ruto, eneo la Rift Valley.Hii ni...

Tangatanga yatumia sakata ya fedha za corona kutakasa Ruto

Na LEONARD ONYANGO MADAI kuhusu wizi wa mamilioni ya fedha zilizotengwa kukabiliana na janga la virusi vya corona yamegeuka baraka kwa...

Ruto aunga mkono ‘Team Kenya’

Na CHARLES WASONGA NAIBU Rais William Ruto Ijumaa, Agosti 7, aliunga mkono mifumo iliyopendekezwa na maseneta Johnson Sakaja (Nairobi)...

Siasa za ugavi wa pesa zachangia kufifia kwa umaarufu wa Ruto Mlima Kenya

NA MWANGI MUIRURI SIASA za mfumo utakaotumika kugawa Sh316.5bilioni za Kaunti mwaka huu wa kifedha (2020/21) zinatishia umaarufu wa...

Ruto awataka maseneta waandae mfumo ‘rafiki’ wa ugavi wa fedha

Na CHARLES WASONGA NAIBU Rais William Ruto amewataka maseneta kuandaa mfumo wa ugavi wa fedha kwa kaunti utakaohakikisha kuwa kaunti...

Ruto avamia ngome ya Raila

JUSTUS OCHIENG NA WANDERI KAMAU KAMBI ya kisiasa ya Naibu Rais William Ruto imeanza kuvamia eneo la Nyanza kujaribu kushawishi wakazi...

Ruto aona mwanya wa kuanza kutangatanga tena

ONYANGO K'ONYANGO na CHARLES WASONGA NAIBU Rais, Dkt William Ruto Alhamisi alidokeza kuwa ataanza ziara zake sehemu mbalimbali nchini hivi...

Ruto akwepa kuandamana na Uhuru tena

Na CHARLES WASONGA KWA mara nyingine Naibu Rais William Ruto alikosa kuandamana na bosi wake, Rais Uhuru Kenyatta, alipotoa hotuba yake...

Ruto alia wandani wake kuadhibiwa na Rais

Na ONYANGO K'ONYANGO NAIBU Rais Dkt William Ruto mnamo Jumamosi alivunja kimya chake kuhusu masaibu yanayowaandama wabunge wanaomuunga...

Muungano wa Ruto na Raila ni ndoto – Kositany

Na ONYANGO K'ONYANGO WANDANI wa Naibu wa Rais William Ruto, wamepuuzilia mbali uwezekano wa kufanya muungano wa kisiasa na kiongozi wa...