• Nairobi
  • Last Updated May 2nd, 2024 8:55 PM

TZ YAPATA SULUHU BAADA YA POMBE

Na MARY WANGARI ALIYEKUWA naibu rais nchini Tanzania Bi Samia Suluhu Hassan sasa ndiye rais wa sita kuongoza taifa hilo la Afrika...

Kufeli sekondari hakukumzuia kuwa Rais

Na MARY WANGARI Bi Samia Suluhu, 61, aliyeapishwa Ijumaa kama rais wa sita wa Tanzania, ni mwanamke aliyeandikisha historia mara kadha,...

FRANCIS MUTEGI: Suluhu awe mwanga mpya Tanzania ikimwomboleza Magufuli

Na FRANCIS MUTEGI NILIPOKEA habari za kifo cha kiongozi shupavu John Joseph Pombe Magufuli kwa masikitiko makubwa. Rambirambi kwa mjane...

Rais Suluhu awahimiza Watanzania kuungana

Na SAMMY WAWERU RAIS mpya wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Bi Samia Suluhu Hassan amewahimiza raia wa nchi hiyo kuungana na kuishi...

Samia Suluhu Hassan aapishwa kuwa Rais wa sita wa Tanzania

Na SAMMY WAWERU BI Samia Suluhu Hassan ameapishwa rasmi Ijumaa kumrithi Rais Dkt John Pombe Magufuli aliyefariki Jumatano. Bi Samia...

Samia Suluhu kuchukua usukani Tanzania kwa kipindi kilichosalia

NA LEONARD ONYANGO  NAIBU Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan atakuwa rais wa sita kutawala Tanzania, na rais wa kwanza mwanamke nchini...

Upinzani TZ wataka Mama Samia Suluhu kuapishwa kuwa Rais mara moja

Na MARY WANGARI VIONGOZI wa upinzani nchini Tanzania wametoa wito kwa Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan kuapishwa mara moja kama Rais...

SAMIA SULUHU: Rais mtarajiwa wa Tanzania

AGGREY MUTAMBO NA WANGU KANURI WATANZANIA sasa wapo tayari kuzoea utawala wa kwanza wa rais mwanamke, Makamu wa Rais Samia Suluhu. Hii...

Rais wa Tanzania John Magufuli afariki

NA AGGREY MUTAMBO RAIS wa Jamhuri ya Tanzania John Pombe Magufuli amefariki. Kulingana na tangazo la Makamu wa Rais Bi Samia Suluhu...