• Nairobi
  • Last Updated April 27th, 2024 4:54 PM

Watambue baadhi ya Waganda waliowahi kusakatia K’Ogalo

Na JOHN KIMWERE ERISSA SSEKISAMBU, SHAFIK BATAMBUZE GOR Mahia FC ni klabu kongwe, kubwa pia ina wafuasi wengi tu sawa na mahasimu wao...

AK yaanza maandalizi ya Riadha za Kimataifa kwa Chipukizi wa U-20

Na CHRIS ADUNGO SHIRIKISHO la Riadha la Kenya (AK) litateua watimkaji 70 watakaoshiriki mazoezi spesheli kwa minajili ya kivumbi cha...

Analenga kuinua mchezo wake kufikia Marcus Rasford

Na PATRICK KILAVUKA Mwanasoka chipukizi Andrew Mulwa, 8, mwanafunzi wa Gredi ya Pili, Shule ya Msingi ya St Joseph ACK, Kabete na timu...

Winga chipukizi wa Kangemi alenga kufikia upeo wa Mohamed Salah

NA PATRICK KILAVUKA Binadamu anapotia bidii katika kutumia talanta yake, huwa njia ya kupata upenyo wa maisha kwani humwezesha...

Klabu za mabinti zachangamkia udhamini wa Betking

Na JOHN KIMWERE TIMU zinazoshiriki kampeni za Ligi Kuu ya Soka la Wanawake la Kenya (KWPL) zinachangamkia udhamini wa kampuni ya kamari...

Young Achievers yaibuka mabingwa

Na JOHN KIMWERE TIMU ya Young Achievers ya wachezaji wasiozidi umri wa miaka 12 imetawazwa mabingwa wa taji la KYSD kwenye mechi...

Tutajinyanyua msimu ujao, wasema South B United

NA CHRIS ADUNGO BAADA ya timu ya South B United kuteleza mara mbili kwenye mbio za kupigania ubingwa wa Chapa Dimba na Safaricom bado...

Kibera Utd, Ruiru Hotstars kusaka ubabe Daraja la Pili

Na JOHN KIMWERE  KIVUMBI kikali kinatazamiwa kushuhudiwa kwenye mechi za kuwania tiketi za kufuzu kushiriki Ligi ya Taifa Daraja la...

Kibera Saints walenga ushindi

Na JOHN KIMWERE KIBERA Saints FC inasadiki kwamba imeketi mkao wa subira kupokezwa tiketi ya kufuzu kupandishwa ngazi kushiriki Ligi ya...

Re Union yajiandaa kwa msimu ujao

Na JOHN KIMWERE TIMU ya Re Union FC inapania kujituma kiume kwenye mechi za Nairobi West Regional League (NWRL) muhula ujao. Re Union...

Mabinti waomba wapigwe jeki kisoka

Na JOHN KIMWERE  TIMU za kina dada za ngarambe ya Ligi Kuu (KWPL) zimeibua mazito yanayogonga wakuu wa Shirikisho la Soka la Kenya...

Tutawakabili wapinzani vilivyo – Mbotela Kamaliza

Na JOHN KIMWERE TIMU ya Mbotela Kamaliza ni miongoni mwa vikosi vinavyoshiriki mechi za Kundi C Ligi ya Taifa Daraja la Kwanza msimu...