Tag: soka
Watambue baadhi ya Waganda waliowahi kusakatia K’Ogalo
Na JOHN KIMWERE ERISSA SSEKISAMBU, SHAFIK BATAMBUZE GOR Mahia FC ni klabu kongwe, kubwa pia ina wafuasi wengi tu sawa na mahasimu wao...
AK yaanza maandalizi ya Riadha za Kimataifa kwa Chipukizi wa U-20
Na CHRIS ADUNGO SHIRIKISHO la Riadha la Kenya (AK) litateua watimkaji 70 watakaoshiriki mazoezi spesheli kwa minajili ya kivumbi cha...
Analenga kuinua mchezo wake kufikia Marcus Rasford
Na PATRICK KILAVUKA Mwanasoka chipukizi Andrew Mulwa, 8, mwanafunzi wa Gredi ya Pili, Shule ya Msingi ya St Joseph ACK, Kabete na timu...
Winga chipukizi wa Kangemi alenga kufikia upeo wa Mohamed Salah
NA PATRICK KILAVUKA Binadamu anapotia bidii katika kutumia talanta yake, huwa njia ya kupata upenyo wa maisha kwani humwezesha...
Klabu za mabinti zachangamkia udhamini wa Betking
Na JOHN KIMWERE TIMU zinazoshiriki kampeni za Ligi Kuu ya Soka la Wanawake la Kenya (KWPL) zinachangamkia udhamini wa kampuni ya kamari...
Young Achievers yaibuka mabingwa
Na JOHN KIMWERE TIMU ya Young Achievers ya wachezaji wasiozidi umri wa miaka 12 imetawazwa mabingwa wa taji la KYSD kwenye mechi...
- by adminleo
- June 24th, 2020
Tutajinyanyua msimu ujao, wasema South B United
NA CHRIS ADUNGO BAADA ya timu ya South B United kuteleza mara mbili kwenye mbio za kupigania ubingwa wa Chapa Dimba na Safaricom bado...
- by adminleo
- June 24th, 2020
Kibera Utd, Ruiru Hotstars kusaka ubabe Daraja la Pili
Na JOHN KIMWERE KIVUMBI kikali kinatazamiwa kushuhudiwa kwenye mechi za kuwania tiketi za kufuzu kushiriki Ligi ya Taifa Daraja la...
- by adminleo
- June 15th, 2020
Kibera Saints walenga ushindi
Na JOHN KIMWERE KIBERA Saints FC inasadiki kwamba imeketi mkao wa subira kupokezwa tiketi ya kufuzu kupandishwa ngazi kushiriki Ligi ya...
- by adminleo
- June 15th, 2020
Re Union yajiandaa kwa msimu ujao
Na JOHN KIMWERE TIMU ya Re Union FC inapania kujituma kiume kwenye mechi za Nairobi West Regional League (NWRL) muhula ujao. Re Union...
- by adminleo
- June 15th, 2020
Mabinti waomba wapigwe jeki kisoka
Na JOHN KIMWERE TIMU za kina dada za ngarambe ya Ligi Kuu (KWPL) zimeibua mazito yanayogonga wakuu wa Shirikisho la Soka la Kenya...
- by adminleo
- June 15th, 2020
Tutawakabili wapinzani vilivyo – Mbotela Kamaliza
Na JOHN KIMWERE TIMU ya Mbotela Kamaliza ni miongoni mwa vikosi vinavyoshiriki mechi za Kundi C Ligi ya Taifa Daraja la Kwanza msimu...