• Nairobi
  • Last Updated May 13th, 2024 7:55 AM

Jericho Allstars yakosa maarifa mbele ya Dagoretti Former Players

Na JOHN KIMWERE MABINGWA wa ngarambe ya Super Eight Premier (S8PL), Jericho Allstars ilitolewa kijasho chembamba na Dagoretti Former...

Githurai Allstars na MASA watisha Super 8

Na JOHN KIMWERE MECHI za kuwania taji la Super Eight Premier League (S8PL) zilizotinga raundi ya saba wikendi ziliendelea kuchacha huku...

Jericho wawazidia maarifa vijana wa Githurai Super 8

Na JOHN ASHIHUNDU Mabingwa watetezi, Jericho All Stars waliandikisha ushindi finyu wa 2-1 dhidi ya Githurai All Stars katika mechi ya...

Meltah Kabiria yainyeshea Kawangware 4-0 Super 8

Na JOHN ASHIHUNDU Kinyume na ilivyotarajiwa, klabu ya Meltah Kabiria iliimiminia Kawangware United mabao 4-0 katika mechi ya Super 8...

Ratiba ya mechi za Jumapili za ligi kuu ya Super 8

Na JOHN ASHIHUNDU MICHUANO ya kuwania ubingwa wa Ligi Kuu ya Super 8 itaendelea Jumapili katika viwanja mbalimbali, huku waliokuwa...

Kayole Asubuhi waondolewa Super 8

Na JOHN ASHIHUNDU KAYOLE Asubuhi FC imekuwa timu ya kwanza kuteremshwa ngazi kutoka kwa Ligi Kuu ya Super 8, na sasa mabingwa hao wa...

Matumaini ya Kawangware Utd kuhifadhi ubingwa yazimwa

Na JOHN ASHIHUNDU Matumaini ya Kawangware United kuhifadhi ubingwa wa taji la Super 8 Premier League yaliyeuka mwishoni mwa wiki baada...

Ratiba ya michuano ya ligi ya Super 8

Na JOHN ASHIHUNDU Huku zikiwa zimebakia katika mechi saba za kuwania ubingwa wa Ligi Kuu ya Super 8, michuano hiyo inaingia wiki yake ya...

Jericho wachupa kileleni Super 8

Na JOHN ASHIHUNDU Jericho All Stars wamechukua uongozi wa msimamo wa Ligi Kuu ya Super 8 PL baada ya kuandikisha ushindi wa 2-0 katika...

Ligi ya Super 8 yashika kasi

Na CECIL ODONGO KLABU ya Shauri Moyo Blue Stars walitoka nyuma na kusajili ushindi wa kipekee wa mabao 2-1 dhidi ya mahasimu wao Zamalek...

Super 8 yaanza wakali wakilemewa na limbukeni

Na CECIL ODONGO MECHI za Ligi ya Super 8 zilianza kwa kishindo wikendi iliyopita huku timu zilizowahi kutwaa ubingwa wa ligi hiyo...