Tag: ubomoaji
- by adminleo
- February 20th, 2019
PICHA: Mzozo wazua kubomolewa kwa nyumba 20 Railways, Nairobi
Na PETER MBURU MZOZO wa usimamizi wa mali ya mamilioni ya watu waliokuwa wafanyakazi wa Shirika la Reli, Nairobi ulifikia kilele...
- by adminleo
- December 21st, 2018
Sonko abomoa vyoo, atisha kubomoa hoteli ya Marble Arch
Na MWANDISHI WETU GAVANA wa Nairobi Mike Sonko Ijumaa alitisha kubomoa hoteli ya Marble Arch inayomilikiwa bilionea Mike Maina kwa...
- by adminleo
- December 20th, 2018
Wabunge wamkejeli Sonko kuwabomolea wakazi nyumba
Na CHARLES WASONGA WABUNGE wawili kutoka Kaunti ya Nairobi wamemshtumu Gavana wa Nairobi kufuatia kubomolewa kwa nyumba kadhaa mashariki...
- by adminleo
- October 19th, 2018
Ilani ya ubomoaji yatolewa kwa wenye majumba
Na BERNARDINE MUTANU SERIKALI ya Kaunti ya Nairobi imetoa ilani ya ubomoaji wa nyumba katika mtaa wa Eastleigh. Katika notisi hiyo...
- by adminleo
- August 16th, 2018
Mkurugenzi wa Taj Mall atishia serikali dhidi ya kubomoa jengo
Na PETER MBURU VITA vya ubabe vimezidi kushuhudiwa kuhusiana na shughuli ya ubomoaji wa majumba yaliyojengwa katika sehemu zisizoruhusiwa,...
- by adminleo
- August 15th, 2018
UBOMIAJI: Sonko na Waititu warukiana mitandaoni
NA PETER MBURU Semi za Gavana wa Kiambu Ferdinand Waititu za kukosoa ubomoaji wa majumba yaliyojengwa karibu na mito na badala yake...
- by adminleo
- August 14th, 2018
‘Hekima’ ya Waititu kusongesha mito yashtua dunia
Na VALENTINE OBARA GAVANA wa Kiambu, Bw Ferdinand Waititu, ameibua mjadala mkali nchini baada ya kupendekeza kwamba mikondo ya mito...
- by adminleo
- August 13th, 2018
OBARA: Kutunza mazingira ni bora kuliko ajenda zote
Na VALENTINE OBARA SERIKALI ya Rais Uhuru Kenyatta huenda ina makosa mengi mno iliyotenda na kuathiri vibaya hali ya mwananchi wa...
- by adminleo
- August 11th, 2018
Waliobomolewa majengo Nairobi walete vibali – Polisi
Na CHARLES WASONGA POLISI sasa wanawataka wamiliki wa majengo ambayo yaliathirika katika ubomoaji unaoendelea kuwasilisha stakabadhi...
- by adminleo
- August 8th, 2018
Wakazi wa mitaa ya mabanda waandamana kupinga ubomoaji
Na RICHARD MUNGUTI SHUGHULI katika eneo la Community, Nairobi zilisambaratishwa na maandamano ya wakazi wa mitaa ya mabanda waliofurika...