Tag: UDAKU
UDAKU: Kibibi Jocelyn Burgardt anavyomkimbiza Cavani polo hatulii Old Trafford
Na CHRIS ADUNGO UJAUZITO wa Jocelyn Burgardt, ambaye ni mchumba wa Edison Cavani, ni miongoni mwa sababu zitakazomchochea straika huyo...
UDAKU: Georgina hajachoka kumkazia Ronaldo wazae mtoto wa tano
Na CHRIS ADUNGO MWANAMITINDO Georgina Rodriguez, 27, amekiri bado matamanio yake ni kumzalia staa Cristiano Ronaldo wa Juventus mtoto...
UDAKU: Mke wa zamani wa Mahrez ameamua kuuza picha za uchi
Na CHRIS ADUNGO KIPUSA Rita Johal ambaye alikuwa mke wa mwanasoka wa Manchester City na timu ya taifa ya Algeria, Riyad Mahrez, sasa...
UDAKU: Boateng achepukiwa sawa tu na afanyavyo!
Na CHRIS ADUNGO BEKI wa Bayern Munich na timu ya taifa ya Ujerumani, Jerome Boateng, 32, ametemana rasmi na kipusa Kasia Lenhardt miezi...
UDAKU: Neymar hapoi! Sasa amejinasia kidege Emilia wa Argentina
Na CHRIS ADUNGO NYOTA wa Paris Saint-Germain (PSG), Neymar Jr, 28, amepata hifadhi mpya ya penzi lake kwa mwanamuziki maarufu raia wa...
UDAKU: Ndoa ya Ronaldo pabaya visura 3 kudai kumgawia
Na CHRIS ADUNGO KATIKA hatua inayopania kuvuruga uhusiano wa kimapenzi kati ya Cristiano Ronaldo na mchumba wake Georgina Rodriguez,...
- by adminleo
- August 10th, 2020
UDAKU: Kipa mkongwe Neuer kanasa kimanzi tineja
Na MWANDISHI WETU KIPA matata wa Bayern Munich, Manuel Neuer amezua gumzo kubwa nchini Ujerumani baada ya kujinasia penzi motomoto la...
- by adminleo
- May 19th, 2020
UDAKU: Ni rasmi Usain Bolt ni baba
Na GEOFFREY ANENE USAIN BOLT sasa ni baba baada ya Waziri Mkuu wa Jamaica Andrew Holness kutangaza Jumatatu kuwa nyota huyo wa mbio fupi...
- by adminleo
- May 18th, 2020
UDAKU: Hudson-Odoi avunja sheria za kuzuia virusi vya corona kwa sababu ya kichuna
Na GEOFFREY ANENE CALLUM Hudson-Odoi anatarajiwa kukosa mazoezi ya kwanza ya vikundi vidogo vya wachezaji yatakayoanza Mei 19 baada ya...
- by adminleo
- May 10th, 2020
UDAKU: Maguire kidume kamili baada ya mkewe kuhesabu bao jingine la mapenzi
Na CHRIS ADUNGO DIFENDA mahiri wa Manchester United na timu ya taifa ya Uingereza, Harry Maguire, 27, sasa amekuwa dume kamili baada ya...
- by adminleo
- April 25th, 2020
UDAKU: Mama mzazi wa Neymar Jr amtema mpenzi wake mwenye umri wa miaka 22
Na GEOFFREY ANENE MAMA mzazi wa supastaa wa Paris Saint-Germain Neymar, Nadine Goncalves amekatiza uhusiano wa kimapenzi na mpenzi wake...
- by adminleo
- March 2nd, 2020
UDAKU: Difenda Tomori Fikayo na msupa Geordie Amber Gill wawasha moto wa mapenzi
Na MWANDISHI WETU MSHINDI wa zamani wa taji la Love Island, Geordie Amber Gill, 24, amefichua kwamba amepata hifadhi jipya moyoni mwa...