Tag: uhuruto
- by adminleo
- July 19th, 2020
JAMVI: Ukabaila ulivyowapasua UhuRuto
Na MWANGI MUIRURI IMEIBUKA kuwa shinikizo za kibiashara, ukabila na unabii wa Mugo wa Kibiru wa Karne ya 18/19 ndio kiini cha utengano...
- by adminleo
- July 17th, 2020
ICC yazua baridi mpya kwa UhuRuto
Na VALENTINE OBARA WASIWASI kuhusu kufufuliwa kwa kesi dhidi ya Rais Uhuru Kenyatta na naibu wake William Ruto kuhusu ghasia za baada ya...
- by adminleo
- June 14th, 2020
JAMVI: Vita vya ubabe kati ya Uhuru na Ruto vyahamia Magharibi
Na LEONARD ONYANGO VITA vya ubabe wa kisiasa baina ya Rais Uhuru Kenyatta na naibu wake William Ruto sasa vimehamia katika eneo la...
- by adminleo
- June 1st, 2020
UhuRuto warejelea ‘urafiki’ wao
CHARLES WASONGA na SAMMY WAWERU RAIS Uhuru Kenyatta na Naibu wake William Ruto Jumatatu walijizatiti kuonyesha kuwa ukuruba kati yao...
- by adminleo
- May 30th, 2020
Nimefika mwisho!
Na CHARLES WASONGA RAIS Uhuru Kenyatta amemnyooshea kidole cha lawama naibu wake William Ruto kama kikwazo chake katika kutimiza ahadi...
- by adminleo
- May 24th, 2020
Uhuru atawaweka hadi 2022?
Na WANDERI KAMAU MASWALI yameibuka iwapo Rais Uhuru Kenyatta atafaulu kudumisha usemi wake katika chama cha Jubilee kuelekea 2022, kwa...
- by adminleo
- May 23rd, 2020
Uhuru azidi kumkalia Ruto
Na CHARLES WASONGA MSIMAMO wa kiongozi wa chama cha Jubilee, Rais Uhuru Kenyatta uliendelea kudhihirika wazi Ijumaa wandani wa Naibu...
- by adminleo
- May 14th, 2020
Alikosea wapi?
BENSON MATHEKA na CHARLES WASONGA RAIS Uhuru Kenyatta Jumatano aliendelea na harakati zake za 'kusafisha' chama cha Jubilee baada ya...
- by adminleo
- May 10th, 2020
Uhuru aundiwa chama kipya?
Na WANDERI KAMAU IMEIBUKA kwamba mabwanyenye katika eneo la Mlima Kenya wanapanga kukitumia chama cha PNU kuwa “dau mpya” la eneo...
- by adminleo
- March 13th, 2020
Kelele na Uhuru na Ruto zinavyowatesa wananchi
Na BENSON MATHEKA MATUMAINI ya Wakenya kuwa na maisha bora, umoja na usalama yanaendelea kudidimia Rais Uhuru Kenyatta na Naibu Rais...
- by adminleo
- January 16th, 2020
Uhuru na Ruto, nani anamsaliti mwingine?
Na BENSON MATHEKA UHUSIANO kati ya Rais Uhuru Kenyatta na Naibu wake William Ruto, unaendelea kuwa baridi huku makundi mawili katika...
- by adminleo
- January 13th, 2020
Ndoa ya unafiki
Na MWANDISHI WETU SASA ni wazi kuwa ndoa ya kisiasa kati ya Rais Uhuru Kenyatta na naibu wake William Ruto imesambaratika. Hii ni...