Tag: UTALII
Mombasa yaandaa burudani aali siku ya utalii duniani
Na MISHI GONGO KAUNTI ya Mombasa imeandaa burudani ya kukata na shoka kuadhimisha Siku ya Utalii Duniani. Sherehe hiyo ambayo...
Fort Jesus yafunguliwa kufufua utalii Pwani
Na DIANA MUTHEU BAADA ya kufungwa kwa miezi sita sasa, hatimaye kivutio maarufu cha watalii eneo la Pwani, Fort Jesus, ilifunguliwa...
Serikali yahakikishia wawekezaji sekta ya utalii kwamba inawapima wageni wote wanaoingia nchini kwa ndege
Na WINNIE ATIENO SERIKALI kuu imewahakikishia wawekezaji katika sekta ya utalii kwamba inaweka juhudi kukabiliana na virusi vya corona...
Utalii kudorora kufuatia mzozo kati ya Kenya na Tanzania
Na WINNIE ATIENO WAWEKEZAJI katika sekta ya utalii wamemsihi Rais Uhuru Kenyatta angilie kati na kusuluhisha utata wa usafiri wa ndege...
Sekta ya utalii kote duniani imepoteza zaidi ya Sh35 trilioni
GENEVA, Uswisi SEKTA ya utalii duniani imeathirika pakubwa kutokana na janga la virusi vya corona huku ikipoteza mabilioni ya hela...
- by adminleo
- August 1st, 2020
Wito serikali ibuni sera ya kuruhusu ndege kupaa na kutua uwanja wa Moi bila vikwazo
Na WINNIE ATIENO WAWEKEZAJI katika sekta ya utalii wametoa wito kwa serikali ikubali sera inayoruhusu ndege kutua na kupaa katika uwanja...
- by adminleo
- July 24th, 2020
Tembeleeni mbuga zetu, Balala ahimiza Wakenya
Na MWANDISHI WETU WAZIRI wa Utalii na Wanyamapori, Bw Najib Balala ametoa wito kwa Wakenya kutumia muda huu ambao ada zimepunguzwa...
- by adminleo
- July 2nd, 2020
Zuio la usafiri kuingia au kuondoka kwa baadhi ya kaunti kuondolewa?
Na CHARLES WASONGA HUENDA vikwazo wa usafiri vikaondolewa hivi karibuni licha ya ongezeko kubwa la idadi ya visa vya Covid-19 nchini...
- by adminleo
- May 24th, 2020
Serikali ya kaunti ya Mombasa yabuni mkakati wa kuipiga jeki sekta ya utalii
Na WINNIE ATIENO WAWEKEZAJI wa sekta ya utalii wamepata afueni baada ya serikali ya Mombasa kutangaza mpango mpya wa kuwanusuru dhidi ya...
- by adminleo
- May 16th, 2020
Mikakati ipo kulainisha sekta ya utalii baada ya kunywea
Na WINNIE ATIENO WIZARA ya Utalii imewahakikishia wawekezaji katika sekta ya utalii kwamba itaweka mikakati kufufua biashara zao. Hii...
- by adminleo
- May 9th, 2020
COVID-19: Balala asema sekta ya utalii inapoteza Sh13bn kila mwezi
Na WINNIE ATIENO WAZIRI wa Utalii Najib Balala amesema sekta hiyo inapoteza takribani Sh13 bilioni kila mwezi kufuatia mlipuko wa virusi...
- by adminleo
- February 24th, 2020
FORT JESUS: Historia, utamaduni, utalii, sanaa na utafiti
NA RICHARD MAOSI Ngome ya Fort Jesus inasifika kote ulimwenguni kutokana na muundo wake wa kipekee, mbali na kuchangia kwa uchumi wa...