Tag: UTALII
- by adminleo
- October 17th, 2019
Qatar Airways yazindua safari ya ziada kutoka Doha hadi Mombasa
Na MAGDALENE WANJA IDADI ya watalii nchini inatarajiwa kuongezeka hii ikiwa ni baada ya shirika la Qatar Airways kuzindua safari (trip)...
- by adminleo
- September 11th, 2019
Kenya kutuma ombi kuandaa kongamano la UN kuhusu utalii wa kimataifa
Na MAGDALENE WANJA KENYA ni miongoni mwa nchi ambazo zimeonyesha nia ya kuwa mwenyeji wa kongamano la baraza la Umoja wa Mataifa kuhusu...
- by adminleo
- August 14th, 2019
Wizara yawataka watalii waepuke mitego ya matapeli mitandaoni
Na MAGDALENE WANJA WIZARA ya Utalii na Wanyamapori imeanzisha uchunguzi kuhusu ripoti za watu ambao wanawalaghai watalii...
- by adminleo
- June 5th, 2019
Uchafuzi wa maziwa ya Bonde la Ufa unavyoathiri utalii
NA RICHARD MAOSI SHIRIKA la Huduma za Wanyamapori nchini (KWS) mwaka 2018 ilitoa ripoti yenye utata iliyosema kuwa kiwango cha maji...
- by adminleo
- February 7th, 2019
Kenya yapoteza watalii 2,000 wakihofia usalama
Na Winnie Atieno KENYA imepoteza watalii 2,000 wa kimataifa baada ya meli mbili za kifahari, zilizokuwa zitie nan’ga katika Bandari ya...
- by adminleo
- February 5th, 2019
MENENGAI CRATER: Mali asili inayofumbiwa macho na serikali
NA RICHARD MAOSI KULINGANA na utafiti uliofanywa na shirika la Umoja wa Mataifa kuhusu Mazingira (UNEP), kati ya miaka ya 1990-2010...
- by adminleo
- January 9th, 2019
Muafaka umeimarisha utalii nchini – Ripoti
Na BERNARDINE MUTANU Sekta ya utalii imeimarika kwa asilimia kubwa ikilinganishwa na mwaka wa 2017. Mapato katika sekta hiyo yaliimarika...
- by adminleo
- December 13th, 2018
Sarafu mpya zitastawisha utalii na kulinda wanyamapori – Balala
Na CHARLES WASONGA WAZIRI wa Utalii na Wanyama Pori Najib Balala amepongeza hatua ya serikali ya kuweka picha za wanyamapori katika...
- by adminleo
- October 30th, 2018
NGILA: Safari za moja kwa moja hadi Amerika ziimarishe utalii nchini
NA FAUSTINE NGILA MAENDELEO ambayo yameshuhudiwa katika sekta ya utalii mwezi Oktoba yanastahili pongezi. Wakati nilihudhuria kikao cha...
- by adminleo
- October 8th, 2018
Mbuga ya Maasai Mara bado namba wani Afrika
Na GEORGE SAYAGIE MBUGA ya wanyamapori ya Maasai Mara kwa mara nyingine imeorodheshwa katika nafasi ya kwanza Barani Afrika kwenye tuzo...
- by adminleo
- September 24th, 2018
ZIWA NAIVASHA: Kivutio cha utalii kilichogeuka mtego wa mauti
RICHARD MAOSI NA MACHARIA MWANGI VIBOKO katika Ziwa Naivasha wanaoaminika kuwavutia watalii wengi, sasa si fahari ya wakazi tena...
- by adminleo
- September 13th, 2018
Teknolojia yameza 60% ya mapato ya maajenti wa utalii
Na BERNARDINE...