UJAUZITO NA UZAZI: Ishara za ‘nasal polyps’ kwa mtoto
NA PAULINE ONGAJI
KUMBUKA kuwa ishara hizi ni sawa na za mafua.
Aidha, unashauriwa kutafuta usaidizi wa kimatibabu endapo utashuhudia dalili zifuatazo:
- Ugumu anapopumua.
- Dalili zilizotajwa zinapozidi.
- Anapokumbwa na ugumu wa kuona vizuri au matatizo anapopindua macho.
- Anapokumbwa na uvimbe katika sehemu ya macho.
- Kichwa kinapozidi kuuma maumivu haya yakiambatana na homa au ugumu wa kusongesha kichwa.
Ni nini kinachosababisha hali hii?
- Ingawa kuna tafiti kadhaa kuhusu nasal polyps, wanasayansi hawajafanikiwa kupata sababu halisi zinazochochea hali hii.
- Matibabu tofauti hutumika kutibu hali hii lakini hutegemea na kiwango cha uvimbe.
- Matibabu huangazia sana jinsi ya kupunguza saizi ya uvimbe ili kukabiliana na ishara.
Next article
MAPISHI KIKWETU: Wali mwekundu kwa samaki