Na MARGARET MAINA
VITAMINI E kwa kawaida ni ya asili ya mafuta mafuta.
Hupatikana katika mafuta ya mimea, nafaka na mboga za majani
Vitamini E hufanya kazi kama anti-oxidant inayosaidia kupunguza kiwango cha seli kuharibika na kufa. Hii ina maana anti-oxidant hulinda seli dhidi ya kemikali haribifu.
Vitamini E huhifadhiwa katika sehemu mbalimbali mwilin hasa:
Kukaanga au kuchemsha au kugandisha kwenye jokovu kwa muda mrefu husababisha vyakula kupoteza kiwango fulani cha Vitamini E.
Matatizo yatokanayo na upungufu wa Vitamini E
Ikizingatiwa kwamba Vitamini E huwa tele kwenye vyakula, upungufu wa mwanzo kabisa wa Vitamini E ni nadra kutokea.
Lakini imeripotiwa kutokea kwa watoto waliozaliwa chini ya uzani wa kawaida ambao hupewa maziwa ya ng’ombe yenye kiwango kidogo cha Vitamini E na kwa wenye matatizo ya utumbo.
Dalili ambazo huashiria upungufu wa Vitamin E ni kama zifuatazo:
Matumizi ya Vitamini E kitaalamu
TANBIHI: Mama mjamzito anaweza kupewa Vitamini E kama ana historia ya mimba kutoka mara kwa mara.