• Nairobi
  • Last Updated May 2nd, 2024 8:55 PM
Haaland afungia Dortmund mabao matatu katika German Cup

Haaland afungia Dortmund mabao matatu katika German Cup

Na MASHIRIKA

CHIPUKIZI Erling Braut Haaland, 21, alifunga mabao matatu chini ya dakika 25 na kusaidia Borussia Dortmund kupepeta Wehen Wiesbaden 3-0 katika kivumbi cha German Cup.

Haaland ambaye ni raia wa Norway, amekuwa akiwaniwa pakubwa na Chelsea baada ya kufungia Dortmund mabao 27 katika Ligi Kuu ya Ujerumani (Bundesliga) mnamo 2020-21.

Chini ya kocha Marco Rose, Dortmund watakuwa wenyeji wa Eintracht Frankfurt katika mechi ya kwanza ya Bundesliga muhula huu mnamo Jumamosi ya Agosti 14, 2021.

TAFSIRI NA: CHRIS ADUNGO

  • Tags

You can share this post!

Leicester roho juu baada ya kubwaga Man-City kwenye...

PSG waanza msimu mpya wa Ligue 1 kwa kupepeta limbukeni...