• Nairobi
  • Last Updated May 10th, 2024 6:43 AM
Maxine Wahome kupimwa akili Mathari kabla ya kujibu shtaka la kumuua Assad Khan

Maxine Wahome kupimwa akili Mathari kabla ya kujibu shtaka la kumuua Assad Khan

NA RICHARD MUNGUTI

DEREVA wa Safari Rally Maxine Muringo Wahome ameshtakiwa katika Mahakama Kuu kwa kumuua mpenziwe Assad Khan mnamo Desemba 12, 2022.

Jaji Lilian Mutende ameamuru Maxine azuiliwe katika kituo cha polisi cha Kilimani hadi Machi 15 atakapojibu shtaka.

Aidha ameamuru Maxine apelekwe kupimwa akili Mathari mnamo Machi 14 kabla ya kusomewa shtaka Machi 15, 2023

  • Tags

You can share this post!

Kisasi: Waliopinga KK waanza kukiona

Chap Chap hatutamezwa na UDA – Mbunge

T L