• Nairobi
  • Last Updated May 2nd, 2024 8:55 PM
Boga sasa abadili mgombea mwenza

Boga sasa abadili mgombea mwenza

NA SIAGO CECE

SASA ni rasmi kuwa katibu wa idara ya serikali ya urekebishaji tabia, Bi Safina Kwekwe, hatakuwa mgombea mwenza wa aliyekuwa katibu wa kilimo, Prof Hamadi Boga (pichani), katika uchaguzi wa ugavana Kwale.

Prof Boga alimteua Bw Nurrein Mwatsahu badala yake.

Duru zilisema Bi Kwekwe alijiuzulu serikalini lakini barua yake haikuidhinishwa.

Hatua hii imeweka taabani kaulimbiu ya ‘BogaSafi’ inayosemekana ilitokana na majina ya Boga na Safina.

  • Tags

You can share this post!

Wawaniaji huru tisa kumkabili ‘Jicho Pevu’

Eintracht Frankfurt wafalme Uropa

T L