• Nairobi
  • Last Updated May 17th, 2024 12:48 PM
Museo aghairi nia, sasa kutetea cheo chake uchaguzini

Museo aghairi nia, sasa kutetea cheo chake uchaguzini

NA KENYA NEWS AGENCY

MWAKILISHI wa Wanawake katika Kaunti ya Makueni, Bi Rose Museo, ametangaza kwamba atatetea kiti chake kwenye uchaguzi mkuu wa Agosti.

Bi Museo, ambaye awali alikuwa akilenga kuwania ugavana, alisema alibadilisha msimamo wake baada ya kufanya mashauriano na kiongozi wa chama cha Wiper, Bw Kalonzo Musyoka.

You can share this post!

Hofu visa vya kaswende kwa wajawazito kuzidi

Wanjigi sasa apata makao mapya Safina

T L