• Nairobi
  • Last Updated May 17th, 2024 8:50 AM
Ragwa ahama UDA, kuwa mwaniaji huru kwa useneta

Ragwa ahama UDA, kuwa mwaniaji huru kwa useneta

NA ALEX NJERU

MWANIAJI wa Useneta Kaunti ya Tharaka-Nithi, Bw Samuel Ragwa (pichani) ambaye alipoteza kwenye mchujo wa UDA wiki jana, ametangaza kuwa sasa atawania kama mwaniaji huru kwenye uchaguzi wa Agosti 9.

Bw Ragwa alisema hawezi kukata rufaa kuhusu uteuzi huo aliodai ulijaa udanganyifu na kuhujumu demokrasia.

Alibwagwa na Diwani wa Mukothima, Mwenda Gataya aliyepata kura 40,746 .

  • Tags

You can share this post!

Red Devils wafufuka Spurs na Arsenal wakila marungu

Mvulana auawa na stima akiwa juu ya trekta

T L