• Nairobi
  • Last Updated May 12th, 2024 5:17 PM
UDA hatimaye kushirikiana na vyama vingine

UDA hatimaye kushirikiana na vyama vingine

Na MWANGI MUIRURI

KATIBU mkuu wa chama cha UDA, Veronica Maina amesema chama hicho kitatangaza mbinu za kushirikiana na vyama vingine katikati ya mwezi Machi.

“Hata tukiangalia mpango wa pamoja wa kumuunga mkono na kuuza manifesto ya Dkt William Ruto kwa wapigaji kura, tunalenga viti vingine vitano vya ugavana, useneta, mwakilishi wa kina mama, ubunge na,” akasema.

You can share this post!

DOUGLAS MUTUA: Putin ni hatari, sharti viongozi duniani...

Mwanamume ashambuliwa na kuuawa na fisi eneo la Juja

T L