• Nairobi
  • Last Updated May 4th, 2024 10:15 PM
Ushindi wa ODM Kwale kupingwa mahakamani

Ushindi wa ODM Kwale kupingwa mahakamani

NA BRIAN OCHARO

USHINDI wa Seneta wa Kwale, Boy Issa Juma katika uchaguzi uliokamilika umetiliwa shaka baada ya mpinzani wake, Salim Ali Mwadumbo kutaka uchaguzi wake ubatilishwe kwa sababu ya dosari.

Bw Juma alifanikiwa kutetea kiti chake baada ya kuzoa kura 52,772 katika kinyang’anyiro kilichovutia wagombeaji tisa.

  • Tags

You can share this post!

Vijana watarajia uongozi wa Ruto utazuia mauaji

Tumepata ushahidi wa kubatilisha ushindi wa Ruto –...

T L