NA TITUS OMINDE
DALILI zaonyesha kuwa wagombea huru katika ngome ya Naibu Rais Dkt William Ruto ya North Rift watabwagwa wote.
Katika eneo bunge la Nandi Hills, mbunge wa sasa Alfred Keter anapiga moyo baada ya kupata kura 7,196 nyuma ya Benard Kitur wa UDA akiwa na kura 9,491 kutoka kwa vituo 58 kati ya vituo 131.