• Nairobi
  • Last Updated May 17th, 2024 7:02 PM
Wagombea waanza kuvuna walichopanda kipindi cha kampeni

Wagombea waanza kuvuna walichopanda kipindi cha kampeni

NA TITUS OMINDE

DALILI zaonyesha kuwa wagombea huru katika ngome ya Naibu Rais Dkt William Ruto ya North Rift watabwagwa wote.

Katika eneo bunge la Nandi Hills, mbunge wa sasa Alfred Keter anapiga moyo baada ya kupata kura 7,196 nyuma ya Benard Kitur wa UDA akiwa na kura 9,491 kutoka kwa vituo 58 kati ya vituo 131.

  • Tags

You can share this post!

Masanduku yenye kura yaanza kutua kituo kikuu cha kuhesabia...

ZARAA: Uwezo wa njugu kupunguza gharama mafuta ya kupikia

T L