• Nairobi
  • Last Updated April 27th, 2024 6:55 AM
Mwinyi apiga tizi balaa akilenga kuitwa Hit Squad

Mwinyi apiga tizi balaa akilenga kuitwa Hit Squad

NA CHARLES ONGADI

BONDIA Mwinyi Kombo Faki wa klabu ya Kongowea inayoshiriki Ligi Kuu ya Ndondi Nchini anaendeleza mazoezi makali akilenga kuitwa katika timu ya taifa.

Kombo ameimarisha mazoezi yake katika ukumbi wa klabu ya Kongowea akishirikiana na mwenzake Anne ‘Waiguru’ Wanjiru ambaye tayari yuko katika timu ya taifa ya akina dada.

“Lengo langu mwaka huu ni kuwakilisha taifa,” akasema Kombo anayecheza uzito wa unyoya.

  • Tags

You can share this post!

Washukiwa watatu wa ugaidi kusota seli kwa wiki moja zaidi

Wenye malori wapinga amri ya kufurushwa mjini

T L