Tag: ajali
- by adminleo
- March 13th, 2020
Familia yalilia haki ya mtoto wao aliyegongwa na gari
Na SAMMY WAWERU JUMAPILI Machi 8, 2020, mtoto Njeri alirauka alfajiri na mapema ili kujiandaa kuhudhuria ibada ya kanisa, misa ya watoto...
- by adminleo
- February 28th, 2020
Misongamano inavyotatiza huduma za dharura jijini
Na BENSON MATHEKA JUHUDI za kupunguza misongamano ya magari katikati mwa jiji la Nairobi huwa haziwafurahishi watu wengi hasa wenye...
- by adminleo
- February 12th, 2020
Tuju apata ajali akiwa safarini kuhudhuria mazishi ya Moi
Na SIMON CIURI KATIBU Mkuu wa chama cha Jubilee Raphael Tuju amepelekwa hospitalini Kijabe baada ya kupata ajali akiwa safarini kuelekea...
- by adminleo
- February 5th, 2020
Anusurika kifo baada ya gari lake kugongana na tingatinga
Na SAMMY WAWERU MWANAMUME mmoja Jumanne alinusurika kifo gari lake lilipogongana na tingatinga eneo la Progressive, katika barabara...
- by adminleo
- January 1st, 2020
Mwaka waanza kwa mbwembwe lakini pia majonzi
Na WAANDISHI WETU WAKENYA wengi walisahau hali ngumu ya maisha waliyopitia 2019 kuukaribisha mwaka mpya wa 2020 kwa mbwembwe za kila...
- by adminleo
- December 12th, 2019
Wasafiri waumia mabasi ya Modern Coast yakizimwa
MISHI GONGO na PIUS MAUNDU MAMLAKA ya Kitaifa ya Uchukuzi na Usalama (NTSA), Alhamisi ilikiri kupokea malalamishi kuhusu mabasi ya...
- by adminleo
- November 23rd, 2019
Anusurika kifo katika ajali ya Ijumaa Thika Superhighway
Na SAMMY WAWERU MTU mmoja alinusurika kifo Ijumaa baada ya gari lake kupoteza mwelekeo na kugonga reli katika barabara ya Thika...
- by adminleo
- November 20th, 2019
Watu wanne wafariki, 12 wajeruhiwa katika ajali iliyohusisha lori na matatu Man Eaters
Na LUCY MKANYIKA WATU wanne wamefariki huku 12 wakijeruhiwa baada ya lori na matatu kugongana dafrao eneo la Man Eaters katika barabara...
- by adminleo
- November 5th, 2019
Kadhaa wanusurika kifo katika ajali Thika Superhighway
Na SAMMY WAWERU WATU kadhaa walinusurika kifo katika ajali iliyotokea Jumatatu jioni katika barabara ya Thika Superhighway. Ajali...
- by adminleo
- October 23rd, 2019
Wawili wajeruhiwa vibaya baada ya gari kubingiria mara kadhaa Lamu
Na KALUME KAZUNGU WATU wanne walinusurika kifo pale gari dogo la mmiliki binafsi, walimokuwa wakisafiria, lilikosa mwelekeo Jumanne...
- by adminleo
- October 16th, 2019
Wanaume wanafariki kwa wingi katika ajali za barabarani kuliko wanawake, NTSA yafichua
Na MARY WAMBUI na CHARLES WASONGA IDADI ya wanaume wanaofariki katika ajali za barabarani ni juu ikilinganishwa na ile ya wanawake,...
- by adminleo
- October 11th, 2019
Ndege yapoteza mwelekeo ikitaka kupaa uwanjani Wilson
Na CHARLES WASONGA NDEGE ya Silverstone Air imepoteza mwelekeo ikitaka kupaa kutoka katika uwanja wa ndege wa Wilson jijini...