Tag: ajali
- by adminleo
- October 4th, 2019
Watu 13 wafariki baada ya basi kugongana na gari jingine eneo la Pala
Na BENSON MATHEKA WATU 13 walikufa Alhamisi usiku basi walimosafiria lilipogogana na trela eneo la Pala, umbali wa kilomita tatu kutoka...
- by adminleo
- September 24th, 2019
Inspekta Mwala alimuua jamaa wetu, hafai kuachiliwa kwa Sh30,000, familia yalia
NA MOHAMED AHMED FAMILIA ya mwanamume aliyeuawa kwa kugongwa na gari na mwigizaji Davis Mwabili maarufu kama Inspekta Mwala,...
- by adminleo
- September 16th, 2019
Watu 6 waangamia katika ajali ya Mazeras
MISHI GONGO na MAUREEN ONGALA WATU sita walifariki Jumatatu katika ajali mbaya ya barabarani iliyotekea sehemu ya Makobeni Kaloleni...
- by adminleo
- August 31st, 2019
‘Jinamizi la ajali nchini linahitaji kutathminiwa kwa kina’
Na SAMMY WAWERU SAFARI ya mwanamuziki tajika wa benga kwa lugha ya Agikuyu, John Ng’ang’a Mwangi maarufu kama John De’ Mathew,...
- by adminleo
- August 25th, 2019
Washangaza kung’ang’ania vyuma kuukuu baada ya ajali
Na GEOFFREY ONDIEKI Kioja kilizuka eneo la Kaptembwa mjini Nakuru baada ya wakazi kung’ang’ania vyuma kuukuu wakati lori la...
- by adminleo
- August 25th, 2019
Rudisha ajeruhiwa katika ajali ya barabarani Keroka
RUTH MBULA Na GEOFFREY ANENE BINGWA mara mbili wa Olimpiki, Dunia na Afrika katika mbio za mita 800, David Rudisha anaendelea kupokea...
- by adminleo
- August 12th, 2019
Simanzi maziko ya wahanga 68 wa ajali ya mafuta yakianza TZ
NA MASHIRIKA MAJONZI yalitanda nchini Tanzania Jumapili wakati maandalizi ya kuwazika zaidi ya watu 60 waliokufa kwenye moto uliotokea...
- by adminleo
- July 21st, 2019
Padri mlevi asababisha mauti ya mhubiri na mkewe
Na WAWERU WAIRIMU WATU watatu wa familia moja, akiwemo mhubiri na mkewe, walifariki Jumamosi asubuhi baada ya kuhusika kwenye ajali ya...
- by adminleo
- June 8th, 2019
Ruto kusaidia familia ya mtoto aliyegongwa na msafara wake
Na GAITANO PESSA na BENSON MATHEKA NAIBU Rais William Ruto ameahidi kusaidia familia ya mtoto aliyekufa baada ya kugongwa na gari...
- by adminleo
- June 2nd, 2019
Je, ushirikina husababisha ajali za barabarani?
Na MWANGI MUIRURI AJALI za mauti barabarani zimekuwa kero kubwa kwa familia nyingi hapa nchini ambapo nyingi hutazama makaburi ya...
- by adminleo
- May 7th, 2019
Vifo kutokana na ajali vyaongezeka
Na PETER MBURU IDADI ya vifo kutokana na ajali tangu mwaka ulipoanza hadi Mei 4 imeongezeka mwaka huu, ikilinganishwa na kipindi sawa...
- by adminleo
- April 15th, 2019
ONGAJI: Karaha kwenye barabara kuu ya Thika zitatuliwe
Na PAULINE ONGAJI TANGU ilipozinduliwa miaka saba iliyopita, barabara kuu ya Thika imesaidia kupunguza msongamano wa magari na hivyo...